Zana duni zazoofisha uvuvi ziwa Tanganyika
ZANA duni zinazotumiwa na wavuvi katika shughuli za uvuvi kwenye mwambao wa Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma, kumeelezwa kuchangia kuifanya shughuli ya uvuvi kutokuwa na tija ya kutosha.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Jan
Wavuvi ziwa Tanganyika watumia zana zenye sumu
WAVUVI katika Ziwa Tanganyika wilayani Nkasi mkoani Rukwa wamebainika kutumia zana haramu za uvuvi zikiwemo nyavu aina ya Monofilament zenye sumu kali ambayo ni hatari kwa maisha ya walaji na viumbe hai wanaoishi ziwani humo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FFonhEOLOzA/UzlvPCT_mHI/AAAAAAAFXio/IuJPsJeBvSo/s72-c/4.jpg)
WAKAZI WA KIJIJI CHA KABWE WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA WAFAIDIKA NA UVUVI WA SAMAKI ZIWA TANGANYIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FFonhEOLOzA/UzlvPCT_mHI/AAAAAAAFXio/IuJPsJeBvSo/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_vbR4vmlC5k/Uzlt2frBGZI/AAAAAAAFXiM/ncCPQClNXHc/s1600/1.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Uvuvi haramu unazorotesha sekta ya uvuvi ziwa Nyasa
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Zana za uvuvi zatengewa bil 1.9/-
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imesema jumla ya sh bilioni 1.9 zimetengwa kwa ajili ya kununua boti za uvuvi na viambata vyake. Waziri wa wizara hiyo, David Mathayo,...
11 years ago
Habarileo04 May
Zana haramu za uvuvi zateketezwa
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Rachel Kassanda ameshiriki katika hafla ya kuteketeza zana haramu za uvuvi zenye thamani ya Sh milioni 68.6. Shughuli hiyo ilifanyika wilayani Muleba mkoani Kagera.
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
Zana za uvuvi haramu za mamilioni zateketezwa Sengerema
Katibu Tawala Wilaya Sengerema Bw. Focus Majumbi, (katikati) akishudia nyavu haramu kabla ya kuchomwa. Wa kwanza kushoto ni Afisa elimu msngi Wilaya Sengema Juma Mwajombe na Kulia ni Afisa uvuvi shupavu Bw. Henry Kaswahili.
Na Daniel Makaka wa MOblog, Sengerema
Zana haramu za kuvulia Samaki zinazokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi milioni mia mbili na laki tani zimekamatwa na kuteketezwa na Afisa uvuvi tarafa ya Buchosa Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza Bw.Henry Kaswahili.
Kwa mujibu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dLwPaiQCdFk/XpcQ28x9r8I/AAAAAAALnEI/H4twfYpVdbIw76x_5yQCN2ExsEEZOMBxQCLcBGAsYHQ/s72-c/waziri%2Bmkuuu.jpg)
ALIYEKAMATWA NA ZANA UVUVI HARAMU MWANZA ACHUKULIWE HATUA KALI-WAZIRI MKUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-dLwPaiQCdFk/XpcQ28x9r8I/AAAAAAALnEI/H4twfYpVdbIw76x_5yQCN2ExsEEZOMBxQCLcBGAsYHQ/s640/waziri%2Bmkuuu.jpg)
“Yuko mfanyabiashara anaitwa Jeremiah Asam Omolo amekamatwa mara kadhaa kwa kukutwa na nyavu haramu. Wizara ilitoa specifications (aina ya nyavu) zinazoruhusiwa kutumika na KUU ya Mkoa ikasimamia lakini kuna maafisa wa Wizara waliingilia zoezi hilo mara tatu na akatozwa faini mara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aKMXL9OoOWw/Xpd1m8UDrII/AAAAAAALnG0/OiND5bQ1qJ0YTWMZ-k1pHokxizotxTuqACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_8435AAA-768x725.jpg)
ALIYEKAMATWA NA ZANA UVUVI HARAMU MWANZA ACHUKULIWE HATUA KALI - WAZIRI MKUU
“Yuko mfanyabiashara anaitwa Jeremiah Asam Omolo ambaye amekamatwa mara kadhaa kwa kukutwa na nyavu haramu. Wizara ilitoa specifications (aina ya nyavu) zinazoruhusiwa kutumika na KUU ya Mkoa ikasimamia lakini kuna maafisa wa Wizara waliingilia zoezi hilo mara tatu na akatozwa faini...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU MAJALIWA AAGIZA ALIYEKAMATWA NA ZANA ZA UVUVI HARAMU MWANZA AKIONE CHA MTEMAKUNI
/
DODOMA, TanzaniaWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa (KUU) wa Mwanza imchukulie hatua za kisheria mfanyabiashara aliyekamatwa kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya zana haramu za uvuvi.
“Yuko mfanyabiashara anaitwa Jeremiah Asam Omolo ambaye...