Wavuvi wamwaga sumu Mto Kou
Watu wasiojulikana wamemwaga sumu ya kuulia magugu Mto Kou unaotiririsha maji Ziwa Manyara, wilayani Babati mkoani Manyara na kuhatarisha maisha ya watu, wanyama na samaki wanaotumia maji hayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Jan
Wavuvi ziwa Tanganyika watumia zana zenye sumu
WAVUVI katika Ziwa Tanganyika wilayani Nkasi mkoani Rukwa wamebainika kutumia zana haramu za uvuvi zikiwemo nyavu aina ya Monofilament zenye sumu kali ambayo ni hatari kwa maisha ya walaji na viumbe hai wanaoishi ziwani humo.
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/bBE8eiH8od4/default.jpg)
GARI LATUMBUKIA MTO WAMI, DEREVA BADO YUPO CHINI YA MAJI. MTO UNA VIBOKO NA MAMBA (+ VIDEO)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/james-660x400.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Uchaguzi wa mitaa wamwaga damu
10 years ago
Mtanzania21 May
Ulaya wamwaga neema Ludewa
Na Mwandishi Wetu, Ludewa
NCHI za Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) zimetoa Sh bilioni 11.3 kwa ajili ya kusaidia kupeleka umeme kwa wananchi 50,000 wa vijiji 20 vya Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe .
Rais wa Shirika lisilo la kiserikali la ACRACCS la Italia, Nicola Morganti, alikuwa akizungumza katika uzinduzi wa mradi huo ambao ulifanyika katika Kijiji cha Lugarawa jana.
Alisema mradi huo unaendeshwa kwa ushirikiano kati ya Kanisa Katoliki Dayosisi ya Njombe na Serikali kupitia Wakala wa Umeme...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Magufuli, Lowassa wamwaga sera
9 years ago
Mtanzania12 Sep
CCM, Chadema wamwaga damu
Na Timothy Itembe, Tarime
WANACHAMA na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), juzi walishambuliana kwa ngumi na silaha za jadi na kusababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi wengine watano.
Tukio hilo lilitokea saa 4.09 asubuhi katika Kijiji cha Mangucha, Wilaya ya Tarime mkoani Mara wakati wanachama na wafuasi wa vyama hivyo wakiwa kwenye shughuli za kampeni za vyama vyao.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi...
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Mgodi wa Tanzanite One wamwaga ajira 1,280
10 years ago
Habarileo24 Feb
Maaskofu, mashehe wamwaga machozi Bugando
VIONGOZI wa madhehebu ya dini jijini Mwanza, wakiwamo Maaskofu na Mashehe jana walijikuta wakibubujikwa na machozi baada ya kumtembelea Ester John, ambaye amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando.
9 years ago
Habarileo19 Sep
Acacia wamwaga milioni 102/- kwa timu
KAMPUNI ya Uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Acacia kupitia Mgodi wake wa Bulyanhulu, juzi ulitoa msaada wa vifaa vya nichezo pamoja na hundi ya Sh milioni 60 kwa timu nne zilizopo katika kata zinazozunguka mgodi huo ikiwemo moja inayoshiriki Ligi Daraja la Pili ngazi ya Taifa.