CCM, Chadema wamwaga damu
Na Timothy Itembe, Tarime
WANACHAMA na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), juzi walishambuliana kwa ngumi na silaha za jadi na kusababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi wengine watano.
Tukio hilo lilitokea saa 4.09 asubuhi katika Kijiji cha Mangucha, Wilaya ya Tarime mkoani Mara wakati wanachama na wafuasi wa vyama hivyo wakiwa kwenye shughuli za kampeni za vyama vyao.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Uchaguzi wa mitaa wamwaga damu
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-opUFBNzZwcE/UmInc_Sz2XI/AAAAAAAAOww/YFUfMOT4nks/s72-c/zitto+kabwe.jpg)
Zitto aachia rasmi ubunge, Asema Chadema basi, wafuasi wake wamwaga chozi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-opUFBNzZwcE/UmInc_Sz2XI/AAAAAAAAOww/YFUfMOT4nks/s640/zitto+kabwe.jpg)
Zitto ambaye alivuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wiki iliyopita baada ya kushindwa kesi aliyoifungua Mahakama Kuu ya Tanzania, alitangaza uamuzi huo jana katika mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa soko la kijiji cha Mwandiga, mkoani Kigoma.
Zitto hakueleza ni sababu zipi zilizomlazimisha kujitoa Chadema zaidi ya kudai kuwa ni kutokana na migogoro ndani ya chama hicho.
“Ndugu zangu...
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Mchakamchaka umeanza Arusha, wagombea Ubunge CCM wamwaga sera
Kada maarufu wa chama cha mapinduzi ambaye pia ni mfanyabiashara wa madini jijini Arusha, Justine Nyari, akizungumza katika mkutano wa hadhara wa kujinadi nafasi ya Ubunge kupitia chama cha mapinduzi katika kata mpya ya Sinoni jijini Arusha(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju akizungumza na wananchi wa kata mpya ya Sinoni kuhusu nia yake ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi...
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
CHADEMA wachangia benki ya damu
UONGOZI mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Tabora umetembelea Benki ya Damu na kuchangia huduma hiyo kwa wahitaji. Akizungumza baada ya kuchangia damu, Mwenyekiti wa CHADEMA...
11 years ago
Dewji Blog12 Jun
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays wajitolea Damu kuadhimisha siku ya Damu Duniani
Mfanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Agnes Mushi akijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani inayotarajiwa kuadhimishwa kesho. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Anayemtoa ni Mtaalamu wa kutoa damu kutoka kitengo cha Damu Salama, Judith Goshashy.
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Marcy Mwakajwanga na Kassim Kanyamara (kulia) wakijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani...
11 years ago
GPLMPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA -TANZANIA CHANGIA DAMU OKOA MAISHA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s72-c/yanga%252Blogo.jpg)
AZAM FC, TFF KUADHIMISHA SIKU YA UTOAJI DAMU DUNIANI KWA KUCHANGIA DAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s400/yanga%252Blogo.jpg)
Zoezi hilo la uchangiaji damu linatarajiwa kufanyika nje ya Uwanja wa Azam Complex kuanzia majira ya saa 6 mchana.
Juni 14, Azam itakuwa ikicheza mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Mbao saa 1.00 usiku na kuhusisha watu wa aina mbalimbali.
Zoezi hilo la uchangiaji damu na kudumisha shirikiano huo...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-EYXbjlLREWo/U5vgEQs9ECI/AAAAAAACjZM/ewbmg7rMYIo/s1600/EXIM+BLOOD+PIX+1.jpg)
BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU DUNIANI JUNI 14, 2014