Mchakamchaka umeanza Arusha, wagombea Ubunge CCM wamwaga sera
Kada maarufu wa chama cha mapinduzi ambaye pia ni mfanyabiashara wa madini jijini Arusha, Justine Nyari, akizungumza katika mkutano wa hadhara wa kujinadi nafasi ya Ubunge kupitia chama cha mapinduzi katika kata mpya ya Sinoni jijini Arusha(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju akizungumza na wananchi wa kata mpya ya Sinoni kuhusu nia yake ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi29 Jul
WAGOMBEA UBUNGE CCM WAKAMILISHA KAMPENI ZAO KATIKA KATA 25 JIJINI ARUSHA
![SAM_4554](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/mj0KQT2RuNVwlGjXlczbH5iSslxTfWlf6HY52g67uWRA6vkpzcXATEnQQMQRwQpl5Dhr3XhN-mxrE5dd8ReqO5Kyrkz5UHfrQbDxo_QUlt3Jl94=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4554.jpg)
![SAM_4518](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/7uiysglymKWhmZra--QPgej1DezVaIcKeqJU0BBWTYBL4rYHf2puT8W_nMGW8AH0FFrmSxhC8VlK7OWahBoc5vhlyBnZvHSDm4zRjSFb_oNo2S8=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4518.jpg)
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Magufuli, Lowassa wamwaga sera
9 years ago
Mwananchi14 Aug
CCM yapitisha wagombea ubunge
9 years ago
Mwananchi17 Aug
CCM yatambulisha wagombea udiwani, ubunge
10 years ago
Vijimambo08 Apr
Urais, ubunge kiza kinene CCM., Wagombea waendelea kuumiza vichwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-8April2015.jpg)
Wakati wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiendelea kupiga `jalamba' kujiandaa kuchukua fomu za kuwania urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu mwaka huu, chama hicho bado kimeweka usiri wa lini kitatoa ratiba rasmi ili kuwawezesha watu wanaotaka kuwania nafasi hizo kuanza kuchukua fomu.
Tofauti na miaka yote, chama hicho kikongwe kimekuwa kikitangaza ratiba mapema kuwawezesha wanachama wake kufahamu utaratibu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bR3xFLrqGfI/VaaIj6aGgWI/AAAAAAAHp9k/N75MEz61WcY/s72-c/487.jpg)
CCM ZANZIBAR WAANZA MCHAKATO WA KUTOA FOMU KWA WAGOMBEA WA UBUNGE
![](http://3.bp.blogspot.com/-bR3xFLrqGfI/VaaIj6aGgWI/AAAAAAAHp9k/N75MEz61WcY/s640/487.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ys8zVR5v_Ik/VaaIjVU_5sI/AAAAAAAHp9Y/b6rw4O_LKWI/s640/490.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-INUNEyYkIWI/VaaIjxevP3I/AAAAAAAHp9c/aEZDTcQuDzs/s640/491.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i9yoUoeKWaA/VcTUuuGd4WI/AAAAAAAAXQ8/pjfGB4QYXls/s72-c/uwt6.jpg)
UWT YAANZA VIKAO VYA UTEUZI WA WAGOMBEA UBUNGE VITI MAALUM KUPITIA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-i9yoUoeKWaA/VcTUuuGd4WI/AAAAAAAAXQ8/pjfGB4QYXls/s640/uwt6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qr8BLuEXaR0/VcTUvg4hsHI/AAAAAAAAXRA/LP-7pk7JJVg/s640/uwt4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m3REVwRCIPA/XujWHTAYhEI/AAAAAAALuEo/EaN9bfVK-AowyddKposPBhOvI2QlN7_1QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.46.16%2BPM.jpeg)
HATUTAKI KUTUMIA NGUVU NYINGI KUWANADI WAGOMBEA NAFASI YA UBUNGE NA UDIWANI-CCM LUDEWA
Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilaya Bakari Mfaume katika mkutano wa kamati kuu ya chama hicho uliolenga kujadili utaratibu na mchakato mzima wa uchukuaji fomu za kugombea nafasi hizo.
Alisema kuwa kwa sasa hawataki kukata viuno majukwaani na kuongea sana ili kumfanya akubalike...
9 years ago
Dewji Blog19 Aug
Kamati kuu ya CCM Taifa yateua wagombea Ubunge katika majimbo mawili ya Singida Mashariki na Kiteto
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM, Ofisi Ndogo Lumumba.
2015 – Nape – Press Conf – Kamati Ya Kampeni Za Uchaguzi 2015 – 18.8.2015