Urais, ubunge kiza kinene CCM., Wagombea waendelea kuumiza vichwa.
Katibu wa Halmashauri Kuu (Nec), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.
Wakati wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiendelea kupiga `jalamba' kujiandaa kuchukua fomu za kuwania urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu mwaka huu, chama hicho bado kimeweka usiri wa lini kitatoa ratiba rasmi ili kuwawezesha watu wanaotaka kuwania nafasi hizo kuanza kuchukua fomu.
Tofauti na miaka yote, chama hicho kikongwe kimekuwa kikitangaza ratiba mapema kuwawezesha wanachama wake kufahamu utaratibu wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CCM Dk Shein, awatambulisha Wagombea Ubunge na Uwakilishi wa Wilaya ya Amani Unguja Kichama
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s72-c/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA URAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) SAMIA SULUHU HASSAN AWANADI WAGOMBEA UBUNGE WA MAJIMBO YA MKOA WA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s640/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZANCVhmVC3g/Vd08jFlShcI/AAAAAAAAUQw/O9ult_vnwhY/s640/IMG_0267%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jKt778Kp6wM/Vd07-tsSRPI/AAAAAAAAUQE/xg2nwFPPqeA/s640/IMG_0244%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FdXwG-pIDAQ/Vd08uL9osuI/AAAAAAAAURg/ghCMslEWA-4/s640/IMG_0305%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qs_riFON9JI/Vd08vReXbGI/AAAAAAAAURs/Q1Jj65Hy8l4/s640/IMG_0306%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboFOMU ZA WAGOMBEA URAIS ,UBUNGE PAMOJA NA UDIWANI KESHO
10 years ago
MichuziFOMU ZA WAGOMBEA URAIS ,UBUNGE PAMOJA NA UDIWANI KESHO-LUBUVA
9 years ago
Mwananchi14 Aug
CCM yapitisha wagombea ubunge
9 years ago
Mwananchi17 Aug
CCM yatambulisha wagombea udiwani, ubunge
10 years ago
Habarileo14 Jun
Mchakato urais CCM waendelea kunguruma
KADA mwingine wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana alijitokeza kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa nafasi ya urais kwa chama hicho, katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Mchakamchaka umeanza Arusha, wagombea Ubunge CCM wamwaga sera
Kada maarufu wa chama cha mapinduzi ambaye pia ni mfanyabiashara wa madini jijini Arusha, Justine Nyari, akizungumza katika mkutano wa hadhara wa kujinadi nafasi ya Ubunge kupitia chama cha mapinduzi katika kata mpya ya Sinoni jijini Arusha(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju akizungumza na wananchi wa kata mpya ya Sinoni kuhusu nia yake ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi...
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Wagombea urais CCM wagonga 40