Mchakato urais CCM waendelea kunguruma
KADA mwingine wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana alijitokeza kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa nafasi ya urais kwa chama hicho, katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Aug
JK, Magufuli waendelea kunguruma Kusini
10 years ago
GPL10 years ago
Mwananchi11 Jul
MCHAKATO URAIS CCM: Lowassa akatwa
10 years ago
GPL25 May
10 years ago
GPLKINGUNGE: MCHAKATO WA KUMPATA MGOMBEA URAIS CCM ULIKUWA BATILI
10 years ago
Vijimambo08 Apr
Urais, ubunge kiza kinene CCM., Wagombea waendelea kuumiza vichwa.
Wakati wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiendelea kupiga `jalamba' kujiandaa kuchukua fomu za kuwania urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu mwaka huu, chama hicho bado kimeweka usiri wa lini kitatoa ratiba rasmi ili kuwawezesha watu wanaotaka kuwania nafasi hizo kuanza kuchukua fomu.
Tofauti na miaka yote, chama hicho kikongwe kimekuwa kikitangaza ratiba mapema kuwawezesha wanachama wake kufahamu utaratibu wa...
9 years ago
Habarileo11 Sep
Mgombea urais TLP kunguruma Dar kesho
CHAMA cha Tanzania Labour (TLP) kinatarajia kuzindua kampeni zake kitaifa kesho katika viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam.
11 years ago
GPLMCHAKATO WA KUWAPATA WASHINDI KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2014 WAENDELEA
11 years ago
Habarileo02 Feb
JK kunguruma miaka 37 ya CCM
MWENYEKITI wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama hicho tawala nchini. Kabla ya sherehe hizo zitakazofanyika Uwanja wa Sokoine mjini hapa, ataongoza matembezi ya miguu yatakayoanzia kitongoji cha Soweto na kuishia Uwanja wa Sokoine.