Maaskofu, mashehe wamwaga machozi Bugando
VIONGOZI wa madhehebu ya dini jijini Mwanza, wakiwamo Maaskofu na Mashehe jana walijikuta wakibubujikwa na machozi baada ya kumtembelea Ester John, ambaye amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Jul
Wasira amtaka Lisu aombe radhi maaskofu, mashehe
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uratibu na Sera), Stephen Wasira ameshauri wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea bungeni na kama maoni yao ni ya wananchi, wasubiri wakati wa kura za maoni.
10 years ago
Bongo Movies23 Feb
JB, Mzee Majuto na Richie Wamtembelea Mama wa Mtoto Albino Aliyeuawa…Wamwaga Machozi
Wikiendi iliyopita staa wa sinema za Kibongo, Jacob Steven ‘JB’ alijikuta akiangua kilio na kuungwa mkono na mastaa wenzake, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’ na Single Mtambalike ‘Richie’ walipomtembelea wodini mama mzazi wa mtoto Albino, Yohana Bahati (1) aliyeuawa kikatili, Ester Thomas (30) ambaye naye alijeruhiwa vibaya kichwani, Ijumaa Wikienda linakuhabarisha.
Tukio hilo la majonzi lilijiri kwenye Hospitali ya Bugando mkoani hapa ambapo wasanii hao walikwenda kumfariji mama wa mtoto huyo...
11 years ago
Habarileo21 Jun
Mashehe, mapadri waionya NEC
WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza mpango wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura ili kuruhusu Watanzania wenye sifa kujiandikisha upya, viongozi wa dini nchini wameitaka tume hiyo kubadilisha pia siku ya kupiga kura, kutoka siku ya Jumapili ambayo huwa ya ibada hadi siku ya katikati ya wiki.
10 years ago
Habarileo17 Apr
IGP, mashehe wakemea uhalifu
MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu na viongozi wa dini ya Kiislamu nchini, wameungana kukemea vitendo vya uhalifu nchini.
10 years ago
Habarileo05 Sep
Mashehe waliotekwa DRC warejea Dar
MASHEHE sita waliokuwa wametekwa na waasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC) wamerejea nchini jana, huku wakieleza kuwa kulitaja jina la Tanzania kumewaokoa na kifo kutoka kwa waasi hao.
10 years ago
MichuziMASHEHE WALIOTEKWA NCHINI DRC WAACHIWA HURU
10 years ago
MichuziMashehe wa Tanzania waliotekwa nchini Congo DRC waachiwa huru
10 years ago
Bongo529 Dec
Fella adai alipigwa mkwara na mashehe kwa kumvalisha suruali Bibi Cheka
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Uchaguzi wa mitaa wamwaga damu