Mashehe waliotekwa DRC warejea Dar
MASHEHE sita waliokuwa wametekwa na waasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC) wamerejea nchini jana, huku wakieleza kuwa kulitaja jina la Tanzania kumewaokoa na kifo kutoka kwa waasi hao.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMASHEHE WALIOTEKWA NCHINI DRC WAACHIWA HURU
9 years ago
MichuziMashehe wa Tanzania waliotekwa nchini Congo DRC waachiwa huru
9 years ago
Mtanzania03 Sep
Masheikh sita waliotekwa DRC waachiwa
NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
MASHEIKH sita wa Tanzania waliochukuliwa mateka katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wameachiwa huru usiku wa kuamkia jana.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa, Liberata Mulamula, alisema Balozi wa Tanzania nchini DRC kwa sasa yupo njiani kuelekea katika mji mkuu wa nchi hiyo, Goma kwa ajili ya kuwaona mateka hao.
Alisema taarifa za kutekwa watu hao zilitolewa mwanzoni mwa Agosti mwaka...
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Masheikh wa Tanzania waliotekwa DRC waachiwa
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Qg7rHcWssWU/VLZy8GddNuI/AAAAAAAG9VU/pgiEgdF7IxU/s72-c/DSC_0386.jpg)
SIMBA WAREJEA DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qg7rHcWssWU/VLZy8GddNuI/AAAAAAAG9VU/pgiEgdF7IxU/s1600/DSC_0386.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZsJmy6T7J6U/VLZy-A6PcWI/AAAAAAAG9Vc/oAL2qqnTG4o/s1600/DSC_0433.jpg)
Na Bakari Issa ,Globu ya Jamii Dar
Klabu ya Soka ya Simba leo hii imerejea jijini Dar es Salaam toka visiwani Zanzibar ambapo imeibuka kinara wa Kombe la...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o8QCeM-M8Eg/UwXUijy93AI/AAAAAAAFOSQ/3lvYVdtcmkk/s72-c/unnamed+(57).jpg)
WATOTO MAPACHA WALIOPELEKWA KUTENGANISHWA NCHINI INDIA WAREJEA JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-o8QCeM-M8Eg/UwXUijy93AI/AAAAAAAFOSQ/3lvYVdtcmkk/s1600/unnamed+(57).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4T5o7Peb5aE/UwXUi2M92cI/AAAAAAAFOSc/EzKP8vA87ro/s1600/unnamed+(58).jpg)
10 years ago
Habarileo17 Apr
IGP, mashehe wakemea uhalifu
MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu na viongozi wa dini ya Kiislamu nchini, wameungana kukemea vitendo vya uhalifu nchini.
11 years ago
Habarileo21 Jun
Mashehe, mapadri waionya NEC
WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza mpango wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura ili kuruhusu Watanzania wenye sifa kujiandikisha upya, viongozi wa dini nchini wameitaka tume hiyo kubadilisha pia siku ya kupiga kura, kutoka siku ya Jumapili ambayo huwa ya ibada hadi siku ya katikati ya wiki.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10