Masheikh sita waliotekwa DRC waachiwa
NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
MASHEIKH sita wa Tanzania waliochukuliwa mateka katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wameachiwa huru usiku wa kuamkia jana.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa, Liberata Mulamula, alisema Balozi wa Tanzania nchini DRC kwa sasa yupo njiani kuelekea katika mji mkuu wa nchi hiyo, Goma kwa ajili ya kuwaona mateka hao.
Alisema taarifa za kutekwa watu hao zilitolewa mwanzoni mwa Agosti mwaka...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Masheikh wa Tanzania waliotekwa DRC waachiwa
9 years ago
MichuziMASHEHE WALIOTEKWA NCHINI DRC WAACHIWA HURU
9 years ago
MichuziMashehe wa Tanzania waliotekwa nchini Congo DRC waachiwa huru
9 years ago
Habarileo05 Sep
Mashehe waliotekwa DRC warejea Dar
MASHEHE sita waliokuwa wametekwa na waasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC) wamerejea nchini jana, huku wakieleza kuwa kulitaja jina la Tanzania kumewaokoa na kifo kutoka kwa waasi hao.
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Masheikh saba wa Tanzania ‘watekwa’ DRC
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MASHEIKH saba wanaodaiwa kutoka Tanzania, wanajishughulisha na kuhubiri neno la Mungu, wanahofiwa kutekwa na kikundi cha waasi katika mji wa Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Taarifa zilizotolewa hivi karibuni, zinadai kuwa masheikh hao wanatokea Zanzibar na walikwenda nchini humo kwa ajili ya kuhubiri neno la Mungu.
Akizungumza na gazeti hili jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Rajab Katimba,...
9 years ago
Habarileo03 Sep
Mateka wa Tanzania DRC waachiwa huru
WATANZANIA sita waliokuwa wameshikiliwa mateka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameachiwa huru usiku wa kuamkia juzi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s72-c/images.jpg)
Ligi Daraja la Pili kuanza Oktoba 7, kuchezwa makundi manne ya timu sita sita nyumbani na ugenini
![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s400/images.jpg)
10 years ago
Habarileo19 Oct
Mwanafunzi wa darasa la sita abakwa na watu sita
MWANAFUNZI wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 13 wa shule ya msingi ya Themi iliyopo jijini Arusha mkoani Arusha hali yake siyo nzuri baada ya kunajisiwa na watu sita.
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Wahubiri wa TZ waliotekwa kuwachiliwa