Bunduki yaua askari wanyamapori
ASKARI wa wanyamapori wa kituo cha Mtemera kilichopo Pori la Akiba la Selous, Hassan Nindi (59), amefariki dunia baada ya bunduki aina ya shotgun aliyokuwa nayo kumfyatukia. Taarifa kutoka kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 May
Majambazi wampora bunduki askari, Pwani
10 years ago
VijimamboNYALANDU AWAPA SOMO ASKARI WANYAMAPORI
10 years ago
Habarileo02 Jan
Askari wa Wanyamapori mbaroni kwa mauaji
ASKARI wanne wa Wanyamapori wameshikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Simiyu kwa madai ya kufanya mauaji kwa kumpiga risasi mchungaji wa ng’ombe aliyeingia katika eneo la hifadhi ya wanyama ndani ya eneo tengefu la Maswa wilayani Meatu.
10 years ago
Dewji Blog05 Jun
Wafugaji kanda ya ziwa walalamikia kunyanyaswa na askari wa wanyamapori
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akilakiwa na Katibu wa CCM mkoa wa Kagera Bw. Ali Ame wakati alipowasili katika kata ya Nyakanazi wilayani Biharamulo mkoani Kagera wakati akianza rasmi ziara yake ya kikazi ya kukagua na kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 inayotekelezwa na serikali.
Ziara hiyo itafanyika katika mikoa mitatu ya kanda ya ziwa ambayo ni Kagera yenewe, mkoa wa Geita na kisha atamalizia na mkoa wa Mwanza kwa kufanya mkutano mkubwa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FlhYZOplVxg/VXHuXBrx3AI/AAAAAAAC5tk/5QHA0IQiiVQ/s72-c/_MG_6177.jpg)
WAFUGAJI KANDA YA ZIWA WALALAMIKIA KUNYANYASWA KWAO NA ASKARI WANYAMAPORI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-FlhYZOplVxg/VXHuXBrx3AI/AAAAAAAC5tk/5QHA0IQiiVQ/s640/_MG_6177.jpg)
Mwenyekiti huyo alisema kuwa wafugaji wamekuwa wakifunga safari kwenda mkoani Dodoma kwa ajili ya kuonana na mawaziri wahusika akiwemo, Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu, Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mqL9_Eb9l3c/VYd9VjcR70I/AAAAAAAHiXg/w8paiqPGy7Q/s72-c/0L7C3303.jpg)
Mafunzo kwa vitendo wa askari wa wanyamapori katika mbuga ya serengeti
![](http://4.bp.blogspot.com/-mqL9_Eb9l3c/VYd9VjcR70I/AAAAAAAHiXg/w8paiqPGy7Q/s1600/0L7C3303.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bOOahD3zSRc/VVDR0ORyAoI/AAAAAAAHWuQ/Jr0aMay31F8/s72-c/IMG-20150508-WA0027.jpg)
WAZIRI NYALANDU AKAGUA MENO YA TEMBO YALIYOKAMATWA NA ASKARI WANYAMAPORI WILAYANI NAMTUMBO
![](http://1.bp.blogspot.com/-bOOahD3zSRc/VVDR0ORyAoI/AAAAAAAHWuQ/Jr0aMay31F8/s1600/IMG-20150508-WA0027.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q5A3kiclWko/VVDRyH8V2BI/AAAAAAAHWuE/rfx6qR7W6kY/s640/IMG-20150508-WA0025.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Askari wa Wanyamapori sasa kuajiriwa moja kwa moja kama Majeshi mengine
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akikwagua gwaride la heshima jana alipowasili Chuo cha Usimamizi Wanyamapori Pasiansi mjini Mwanza alipokwenda kukagua vifaa mbalimbali vilivyonunuliwa na Taasisi ya Buffet Foundation kwa jili ya mafunzo ikiwemo vitabu, kompyuta, magari na darubini.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akiangalia moja ya kompyuta maalum zinazotumiwa wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi Wanyamapori Pasiansi mjini Mwanza alipokwenda kukagua vifaa...
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Ajali yaua askari wa JWTZ, kujeruhi wengine 33