Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali yaua askari wa JWTZ, kujeruhi wengine 33

Watu wawili wamefariki dunia akiwemo askari wa Jeshi la wananchi (JWTZ) na wengine 33 kujeruhiwa baada ya basi mali ya kampuni ya Ngorika kuigonga kwa mbele Toyota Costa eneo la Misugusugu mjini Kibaha .

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Ajali yaua sita na kujeruhi wengine 40 Singida

DSC06556

Basi la kampuni ya Nice Line Coach T.174  CAV  mali ya Enock Mwita wa jijini Mwanza, limegonga lori kubwa RAC 317 N kwa nyuma na kukwanguliwa kushoto kuanzia mlangoni na kusababisha vifo vya abiria watano na kujeruhi wengine 39 waliolazwa katika hospitali ya mkoa mjini Singida.

DSC06566

Dereva wa lori kubwa RAC 317 N raia wa Uganda,Waguuma Mohammed, akizungumzia ajali ya lori lake kugongwa kwa nyuma na basi T.174 CAV mali ya Enock Mwita wa jijini Mwanza. DSC06582 Mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Ajali ya malori yaua watu wawili, kujeruhi wengine watatu Bagamoyo

Watu wawili wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya magari ya mizigo aina ya Scania Kipisi na Mitsubish Fusso waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ajali yaua askari Magereza mkoa wa Singida, wengine watatu wafa kwenye matukio tofauti

RAMA

Askari Magereza Ramadhan Mussa (54) enzi za uhai wake.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

WATU wanne wamefariki dunia Mkoani Singida katika matukio tofauti likiwemo la askari magereza mmoja wa Mkoa wa Singida kufa baada ya kupata ajali mbaya ya gari lake dogo kugongana uso kwa uso na lori usiku.

Kamanda wa polisi Mkoani hapa Geofrey Kamwela alisema  askari magereza wa huyo ametambuliwa kuwa ni Staff Sagenti Ramadhan Mussa (54) alikufa papo hapo baada ya gari lake alilokuwa akiendesha kuacha njia na...

 

11 years ago

Habarileo

Ajali yaua 3, kujeruhi 46

WATU watatu wamekufa na wengine 46 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Uchunga wilayani Kishapu mkoani Shinyanga.

 

10 years ago

GPL

AJALI YAUA 16 NA KUJERUHI 75 TABORA

Watu 16 wamepoteza maisha huku 75 wakijeruhiwa baada ya basi la AM likitoka Mwanza-Mpanda kugongana na basi lingine la Sabena linalofanya safari zake Mbeya - Tabora katika eneo la Mlogoro, Sikonge mkoani Tabora jana.

 

9 years ago

Mwananchi

Ajali yaua wawili, kujeruhi 15 Lushoto

Watu wawili wamefariki dunia na wengine 15  kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka katika Kijiji cha Longoi Kata ya Mtae wilayani Lushoto jana majira ya saa 11.00 jioni.

 

9 years ago

Global Publishers

Ajali ya basi yaua 12 na kujeruhi 22 Iringa

New Force (1)

Taswira kutoka eneo la ajali.

Takribani watu 12 wanadaiwa kupoteza maisha huku wengine 22 wakijeruhiwa baada ya basi la New Force kupata ajali leo eneo la Mahenge Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa.

New Force (2)

Basi hilo lilikuwa likitokea mkoani Mbeya kuelekea Dar es Salaam na limepata ajali mchana huu.

Jitihada za kuondoa miili na kusafirisha majeruhi kuwapeleka hospitali zinaendelea.

 

9 years ago

Habarileo

Ajali basi la Metro yaua 5, kujeruhi 39

WATU watano wamekufa papo hapo na wengine 39 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Kampuni ya Metro, kuacha njia, kutumbukia bondeni na kupinduka.

 

10 years ago

GPL

AJALI YA BASI YAUA SABA, NA KUJERUHI TABORA

Picha zote zikionyesha mandhari ya sehemu ajali hiyo ilipotokea. Watu saba wamefariki Igunga, mkoani  Tabora, ambapo wengi wamejeruhiwa baada ya basi…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani