Ajali basi la Metro yaua 5, kujeruhi 39
WATU watano wamekufa papo hapo na wengine 39 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Kampuni ya Metro, kuacha njia, kutumbukia bondeni na kupinduka.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Ajali ya basi yaua 12 na kujeruhi 22 Iringa
Taswira kutoka eneo la ajali.
Takribani watu 12 wanadaiwa kupoteza maisha huku wengine 22 wakijeruhiwa baada ya basi la New Force kupata ajali leo eneo la Mahenge Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa.
Basi hilo lilikuwa likitokea mkoani Mbeya kuelekea Dar es Salaam na limepata ajali mchana huu.
Jitihada za kuondoa miili na kusafirisha majeruhi kuwapeleka hospitali zinaendelea.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBuzok*gZsri*eUzWfAnx5jfzNu3jR57kqH7McXxnHx9*h*3mBGBE-YQGzbARFSdiiMHPjBF-c*LIpO3h2vPSi75/IMG20141216WA0003.jpg?width=650)
AJALI YA BASI YAUA SABA, NA KUJERUHI TABORA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DTAbWDo8Za-TKdf5u7nC50pItGoaIVF0-849UFxdnQ6BRoAxlUgYS-MtUOJWMaBJzVd9phZUNZoAfre0P8xNU1E/BREAKING.gif)
AJALI YA BASI NA TRENI YAUA 5 NA KUJERUHI 24 WILAYANI KILOSA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fac5wk09ebw/VJBkW05ZC5I/AAAAAAACUa8/qYRjxsZqpSk/s72-c/IMG-20141216-WA0046.jpg)
AJALI YA BASI LA MOHAMED TRANS YAUA WATU SITA NA KUJERUHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-fac5wk09ebw/VJBkW05ZC5I/AAAAAAACUa8/qYRjxsZqpSk/s640/IMG-20141216-WA0046.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
News Alert: Ajali mbaya ya basi, yaua abiria 12 na kujeruhi vibaya 18 Singida
Pichani ni muonekana upande wa dereva wa basi la Taqbiir lenye namba za usajili T230-BRJ.
Basi la Kampuni ya Taqbiir lililokuwa linatoka Dar es Salaam kwenda Katoro-Geita, lilipofika kijiji cha Kisonzo, tarafa ya Shelui wilaya ya Iramba mkoa wa Singida Desemba mosi mwaka huu, majira ya saa moja na nusu liligonga Tenka la Mafuta upande wa kulia wa dereva na kung’oa bati lote na kuua baadhi ya watu papo hapo na wengine walifia njiani wakipelekwa hospitali ya wilaya ya Iramba. (Picha zote na...
11 years ago
Habarileo26 Jul
Ajali yaua 3, kujeruhi 46
WATU watatu wamekufa na wengine 46 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Uchunga wilayani Kishapu mkoani Shinyanga.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdO0Gmm49Py-NNsCMRIYLcekNO-at-gALrqai7euc27mE19-RfjPkuFYW9Gm3yJKRZM8B1dpm6K2T-PNVHUVuJ2P/breakingnews.gif)
AJALI YAUA 16 NA KUJERUHI 75 TABORA
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Ajali yaua wawili, kujeruhi 15 Lushoto
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Ajali yaua sita na kujeruhi wengine 40 Singida
Basi la kampuni ya Nice Line Coach T.174 CAV mali ya Enock Mwita wa jijini Mwanza, limegonga lori kubwa RAC 317 N kwa nyuma na kukwanguliwa kushoto kuanzia mlangoni na kusababisha vifo vya abiria watano na kujeruhi wengine 39 waliolazwa katika hospitali ya mkoa mjini Singida.
![DSC06582](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/DSC06582.jpg)