Mkurugenzi wa Wanyamapori nchini aondolewa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na kumteua Paul Sarakikya kukaimu nafasi hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mkurugenzi wa Wanyamapori aondolewa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na kumteua Paul Sarakikya kukaimu nafasi hiyo. Kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari, Nyalandu alisema amechukua hatua hiyo kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa kazi wa idara hiyo katika mapambano dhidi ya ujangili, yanayoendelea nchini.
11 years ago
Mwananchi02 May
Nyalandu amtimua Mkurugenzi Wanyamapori Kamati ya Bunge
10 years ago
MichuziMKURUGENZI WA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WA MAMBO YA NJE AAGANA NA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA UNDP NCHINI
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Mwanaharakati wa siku nyingi wa wanyamapori nchini Tanzania ampongeza Rais Kenyatta
Mwanaharakati wa siku nyingi wa wanyama pori na mazingira nchini Tanzania Kidon Mkuu, akiwa Philipine Manila December 2014 kwenye harakati zake za matembezi ya kupinga kuuwawa kwa Tembo na Faru akiwa na wanaharakati wenzake wa huko Philipine.
Mwanaharakati wa siku nyingi wa wanyama pori na mazingira nchini, Kidon Mkuu akiwa Philipine Manila December 2014 kwenye matembezi ya kupinga kuuwawa kwa Tembo na Faru akiwa na Susan Jaylo.
Mwanaharakati Kidon Mkuu akiwa kweye hoteli alikoshukia ya...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. MOHAMMED GHARIB BILAL AHUDHULIA KONGAMANO LA KIMATAIFA KUHUSU BIASHARA HARAMU YA WANYAMAPORI NCHINI BOTSWANA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UYTsI1smKD0/Uv5xRcsx6CI/AAAAAAAFNMA/WqLlmq5yG8g/s72-c/Tanzania+1.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOKUTANA NA MWANA MFALME WA UINGIREZA PRINCE CHARLES NA KUJADILI VITA DHIDI YA BIASHARA HARAMU YA WANYAMAPORI NCHINI UINGEREZA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-UYTsI1smKD0/Uv5xRcsx6CI/AAAAAAAFNMA/WqLlmq5yG8g/s1600/Tanzania+1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bdpRkabRbu4/Uv5xUXPK0wI/AAAAAAAFNMI/mVwAqLqyN9U/s1600/Tanzania+2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Mkurugenzi Erolink atoroka nchini
MKURUGENZI wa Kampuni ya uwakala wa ajira ya Erolink Tanzania Limited ametoroka nchini baada ya serikali kubaini kuwa ameikosesha kodi ya zaidi ya sh bilioni tatu kwa miaka mitatu. Tanzania...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mkurugenzi Bodi ya Utalii nchini avuliwa madaraka