Nyalandu amtimua Mkurugenzi Wanyamapori Kamati ya Bunge
Hatua ya kurejeshwa kazini Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa baada ya kutimuliwa kazi na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu imeibua mapya baada ya mkurugenzi huyo kutimuliwa katika Kamati ya Bunge jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Nyalandu akutana na kamati ya bunge la Norway Jijini Dar
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu, akizungumza na Mwenyekiti wa kamati ya Maliasili na Utalii ya Bunge la Norway,Ola Eluestuen (kushoto) na Balozi wa nchi hiyo hapa Tanzania Hanne-Mariekaarstad, walipofika ofisini kwake muda mfupi kabla ya kuzungumza na kamati nzima ya bunge hilo.
Waziri Nyalandu akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo ya Maliasili na Mazingira mara baada ya kuzanza kwa mkutano huo jijini Dar es Salaam jana.
Waziri Nyalandu akisalimiana na mwenyekiti wa kamati...
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Nyalandu amtimua kigogo mwingine Utalii
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amemfukuza kazi Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii (TTB), Dk. Aloyce Nzuki, kwa madai ya kutokuwa na imani naye katika utendaji kazi wake. Akitangaza...
9 years ago
Bongo516 Dec
Magufuli amtimua kazi mkurugenzi wa Takukuru, Edward Hoseah
![hose](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/hose-300x194.jpg)
10 years ago
VijimamboNYALANDU AWAPA SOMO ASKARI WANYAMAPORI
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-9C5dp7WZI6g/U8UDTXK4MVI/AAAAAAAABXE/Qh_cBZm-qEc/s72-c/1(1).jpg)
NYALANDU AKUTANA VIONGOZI WA UHIFADHI WANYAMAPORI
![](http://3.bp.blogspot.com/-9C5dp7WZI6g/U8UDTXK4MVI/AAAAAAAABXE/Qh_cBZm-qEc/s1600/1(1).jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Waandamizi wa Taasisi ya Vulcan ya nchini Marekani Bw. Dave Stewart (kushoto) na Bi. Lauren Ryder, inayojihusisha na masuala ya kuidadi tembo katika nchi 18 barani Afrika ikiwemo Tanzania, baada ya kufanya mazungumzo maalum ya ushirikiano yaliyofanyika katika jiji la New York nchini Marekani jana.
11 years ago
Michuzi24 Feb
WAZIRI NYALANDU AWANG'OA VIGOGO IDARA YA WANYAMAPORI
![](https://4.bp.blogspot.com/-V-L2iqiK-dM/Uwt2znkiJwI/AAAAAAAAkDk/q-VPJUVmJ1k/s1600/NYALANDUZI.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu leo ametangaza kuwang'oa viongogo wa ngazi ya juu katika Idara ya wanyamapori akieleza kuwa ni kutokana na kutoridhishwa na utendaji wao.
Ifuatayo ni Taarifa rasmi ya tamko la Waziri Nyalndu, kama alivyolisoma leo:
Leo, TAREHE 24 Februari, 2014 Natangaza kuubadili uongozi wa Idara ya Wanyamapori ya Wizara ya maliasili na Utalii kama ifuatavyo:
Ninamuondoa Profesa Alexander Songorwa katika nafasi ya Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori ya...
10 years ago
Habarileo24 Nov
Tutalinda wanyamapori kwa gharama yoyote- Nyalandu
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema Serikali iko tayari kulinda rasilimali za wanyamapori katika hifadhi zake za taifa kwa gharama yoyote ile na kwamba haina mchezo katika hilo.
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mkurugenzi wa Wanyamapori aondolewa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na kumteua Paul Sarakikya kukaimu nafasi hiyo. Kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari, Nyalandu alisema amechukua hatua hiyo kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa kazi wa idara hiyo katika mapambano dhidi ya ujangili, yanayoendelea nchini.
10 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mhe. Nyalandu afungua mkutano wa uhifadhi wa wanyamapori Tanzania
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana na baadhi ya wadau wa masuala ya uhifadhi na utalii wakati alipofungua mkutano wa majadiliano kuhusu uboreshaji wa mfumo wa usimamizi na uendeshaji Maeneo ya Jumuia ya Hifadhi ya Wanyamapori Tanzania (WMA), ulioanza jana jijini Arusha.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana na mdau wa masuala ya utalii na uhifadhi nchini, Willy Chambulo, muda mfupi baada ya kufungua mkutano wa majadiliano kuhusu uboreshaji...