Nyalandu amtimua kigogo mwingine Utalii
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amemfukuza kazi Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii (TTB), Dk. Aloyce Nzuki, kwa madai ya kutokuwa na imani naye katika utendaji kazi wake. Akitangaza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 May
Nyalandu amtimua Mkurugenzi Wanyamapori Kamati ya Bunge
Hatua ya kurejeshwa kazini Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa baada ya kutimuliwa kazi na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu imeibua mapya baada ya mkurugenzi huyo kutimuliwa katika Kamati ya Bunge jana.
10 years ago
Vijimambo11 Mar
Kigogo mwingine ajikanyaga Escrow.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/james-10March2015.jpg)
Fedha hizo, ambazo anadaiwa kuingiziwa na Rugemalira katika akaunti yake iliyofunguliwa katika Benki ya Biashara ya Mkombozi tawi la St. Joseph, jijini...
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Lazaro Nyalandu: Waziri wa Maliasili na Utalii
Lazaro Nyalandu alizaliwa Agosti 18, 1970 mkoani Singida, hivyo atafikisha miaka 45 Agosti mwaka huu. Kwa sasa yeye ni Waziri wa Maliasili na Utalii.
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
Tangazeni vivutio vya utalii- Nyalandu
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI za utalii nchini, zimetakiwa kutangaza vivutio vya utalii, ndani na nje ya nchi.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, alisema hayo jijini Arusha, wakati akifungua mkutano mkuu wa Wamiliki wa Kampuni ya Kusafirisha Watalii (TATO).
Alisema kazi ya kutangaza utalii inapaswa kupewa kipaumbele katika kampuni hizo.
Alizitaka kampuni hizo kuhakikisa zinaongeza kiasi kikubwa cha watalii wanaoingia nchini, ili kuiingizia serikali fedha nyingi za kigeni na kuachana...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-a1KkhezR-BY/VMBZPb0nKQI/AAAAAAAAsho/NgX8xnJ9XBk/s72-c/9J.jpg)
NYALANDU KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UTALII NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-a1KkhezR-BY/VMBZPb0nKQI/AAAAAAAAsho/NgX8xnJ9XBk/s640/9J.jpg)
Katika kuhakikisha hilo linafanyika kwa mafanikio na kwa haraka, Nyalandu ametangaza kuanza kwa vikao vitakavyowakutanisha wataalamu wa Wizara zinazohusika na maliasili na utalii za Tanzania na Kenya kwa lengo la kujadiliana masuala mbalimbali iili yapatiwe ufumbuzi kwa maslahi ya pande zote.
Hatua hiyo imetokana na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2Rndz8mwXJFdrBJbEf9emh52dsl4EBJRyaLLckwPFpW2WXAIpVYOaGsKPMOeKTaLY2hSu5MajTe8PUeYtBU6Fas/1.jpg?width=650)
NYALANDU AZIDI KUFANYA MAKUBWA MALIASILI NA UTALII
Meneja wa Mbuga ya wanyama ya Selous, Benson Kibonde akimpatia maelezo kuhusu masalia ya injini ya mvuke iliyoachwa na Wajerumani, kwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazao Nyalandu (kushoto), waziri huyo alipofika katika mbuga hiyo, kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kupokea vifaa vya kukabiliana na ujangili vilivyotolewa na serikali za Marekani na Ujerumani kwa ajili ya Mbuga ya Selous .… ...
11 years ago
Uhuru NewspaperZIARA YA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MH. LAZARO NYALANDU NCHINI MAREKANI
10 years ago
Michuzi19 May
10 years ago
Michuzi13 Sep
MHE. LAZARO NYALANDU AKUTANA NA WADAU WA UTALII NCHINI MAREKANI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania