Mkurugenzi Erolink atoroka nchini
MKURUGENZI wa Kampuni ya uwakala wa ajira ya Erolink Tanzania Limited ametoroka nchini baada ya serikali kubaini kuwa ameikosesha kodi ya zaidi ya sh bilioni tatu kwa miaka mitatu. Tanzania...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Meneja Tanzanite One atoroka nchini
Na Mwandishi Wetu, Arusha
MENEJA Mauzo wa Kampuni ya Tanzanite One, Jacques Beytel (39) maarufu ‘Kibakuli’ raia wa Afrika Kusini aliyekamatwa wiki iliyopita kwa kosa la kufanya kazi nchini bila ya kibali, ametoroka.
Habari za kuaminika zimesema kuwa Kibakuli alitoroka kwa kusaidiwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Wiki iliyopita gazeti hili liliripoti tukio la kukamatwa kwa Kibakuli na maofisa wa Idara ya Uhamiaji mkoani Arusha, kwa kosa la kufanya kazi nchini bila ya kuwa na kibali.
Mkuu wa...
10 years ago
MichuziMKURUGENZI WA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WA MAMBO YA NJE AAGANA NA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA UNDP NCHINI
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Kampuni ya Erolink yajitetea
Kampuni ya Uwakala wa Ajira chini ya Erolink, imekanusha taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari kuwa Mkurugenzi wa kampuni hiyo, ametoroka nchini kukwepa mkono wa Serikali kutokana na kampuni hiyo kushindwa kulipa kodi katika kipindi cha miaka mitatu ya utoaji huduma.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-W85u9hvW7dM/Ux2kA28VDEI/AAAAAAAFSrM/n75BpvR8aq4/s72-c/unnamed+(34).jpg)
Kampuni ya Uwakala wa ajira ya Erolink yawazawadia wazee wa Yombo Kilakala, Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-W85u9hvW7dM/Ux2kA28VDEI/AAAAAAAFSrM/n75BpvR8aq4/s1600/unnamed+(34).jpg)
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mkurugenzi wa Wanyamapori nchini aondolewa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na kumteua Paul Sarakikya kukaimu nafasi hiyo.
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mkurugenzi Bodi ya Utalii nchini avuliwa madaraka
Serikali imemvua wadhifa Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii nchini (TTB), Dk Aloyce Nzuki kutokana na utendaji usioridhisha.
9 years ago
MichuziMKURUGENZI WA MASHARIKI YA KATI AZUNGUMZA NA BALOZI WA UAE NCHINI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xH6Zv4-eYsw/UyGzlDnp4xI/AAAAAAAFTaw/-sv0yyBWKT0/s72-c/New+Picture+(5).png)
MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NGUVU ZA ATOMIKI DUNIANI ZIARANI NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xH6Zv4-eYsw/UyGzlDnp4xI/AAAAAAAFTaw/-sv0yyBWKT0/s1600/New+Picture+(5).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lP5YaIAqM08/UyGzmx-sw3I/AAAAAAAFTa4/RJ49m-Q1Dsc/s1600/New+Picture+(6).png)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania