Kampuni ya Erolink yajitetea
Kampuni ya Uwakala wa Ajira chini ya Erolink, imekanusha taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari kuwa Mkurugenzi wa kampuni hiyo, ametoroka nchini kukwepa mkono wa Serikali kutokana na kampuni hiyo kushindwa kulipa kodi katika kipindi cha miaka mitatu ya utoaji huduma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-W85u9hvW7dM/Ux2kA28VDEI/AAAAAAAFSrM/n75BpvR8aq4/s72-c/unnamed+(34).jpg)
Kampuni ya Uwakala wa ajira ya Erolink yawazawadia wazee wa Yombo Kilakala, Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-W85u9hvW7dM/Ux2kA28VDEI/AAAAAAAFSrM/n75BpvR8aq4/s1600/unnamed+(34).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Mkurugenzi Erolink atoroka nchini
MKURUGENZI wa Kampuni ya uwakala wa ajira ya Erolink Tanzania Limited ametoroka nchini baada ya serikali kubaini kuwa ameikosesha kodi ya zaidi ya sh bilioni tatu kwa miaka mitatu. Tanzania...
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Shambulizi Garissa:Serikali yajitetea
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Indonesia yajitetea kwa kuwaua 8
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Serikali yajitetea ubovu miundombinu
11 years ago
BBCSwahili01 May
Nigeria yajitetea kuhusu waliotekwa
10 years ago
Mwananchi20 Aug
HESLB yajitetea malipo ya wanafunzi kuchelewa
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Yanga yajitetea kipigo cha Gor Mahia
NAHODHA wa timu ya soka Yanga Nadir Haroub ‘Cannavaro’, amesema kipicho cha mabao 2-1, walichokipata kutoka kwa Gor Mahia ya Kenya hakiwafanyi washindwe kufanya vizuri.
Yanga imepata kipigo hicho kwenye mechi yao ya kwanza michuano ya Kagame inayoendelea kuchezwa jijini Dar es Salaam, kwenye viwanja vya Taifa na Kumbukumbu ya Karume.
Akizungumza na Raia Tanzania mara baada ya kumalizika mchezo huo mwishoni mwa wiki iliyopita nahodha huyo alisema wanafahamu changamoto wanazokutana...
9 years ago
MichuziKAMPUNI YA TINGATINGA IMEINGIA MKATABA NA KAMPUNI YA BRICOLEUR HOLDINGS Co.LIMITED YA JAPAN.
Makabidhiano ya Mkataba huo yamefanyika leo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Mwakilishi wa Kampuni ya Bricoleurholdings Co.Limited, Shoji Tsuchiya amemkabidhi mkataba huo Mwenyekiti wa Chama Cha Tingatinga, Zack Chimwanda, amesema kuwa kazi hii ya...