Indonesia yajitetea kwa kuwaua 8
Indonesia imetetea uamuzi wake kuwauwa walanguzi wanane wa dawa za kulevya wakiwemo raia saba wa kigeni
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Jul
Mbaroni kwa kuwaua, kuwang’oa meno tembo
MKAZI wa Kijiji cha Malolo B, Tarafa ya Mikumi, wilayani Kilosa anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuua tembo wawili kwa risasi ndani ya Hifadhi na kuwang’oa meno manne kwa kutumia shoka.
10 years ago
GPL37 WAUAWA KWA AJALI YA NDEGE INDONESIA
Umati wa watu wakishuhudia ajali hiyo ilivyotokea. Kikosi cha Usalama wakiondoa taili la ndege hiyo eneo la tukio. Kikosi cha uokoaji wakitathimini namna ambavyo ajali hiyo ilivyotokea na kuharibu majengo. Shughuli…
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Baba wa Garil aliuawa kwa bomu nchini Indonesia
Baba wa Garil aliuawa kwa bomu nchini Indonesia, shambulio hilo la kigaidi lilitokea wakati Garil akiwa mwanafunzi wa shule ya msingi
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Kampuni ya Erolink yajitetea
Kampuni ya Uwakala wa Ajira chini ya Erolink, imekanusha taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari kuwa Mkurugenzi wa kampuni hiyo, ametoroka nchini kukwepa mkono wa Serikali kutokana na kampuni hiyo kushindwa kulipa kodi katika kipindi cha miaka mitatu ya utoaji huduma.
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Mwanamke wa Indonesia anusurika kifungo jela kwa kuingiza mbwa msikitini
Kanda ya video ya mwanamke huyo mwenye akili punguani akiingia msikitini nchini Indonesia ilisambaa sana mwaka uliopita
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Serikali yajitetea ubovu miundombinu
Wizara ya Ujenzi imesema kuwa asilimia kubwa ya miundombinu iliyoharibiwa na mafuriko haikujengwa chini ya kiwango kama inavyodaiwa, bali ni matokeo ya uharibifu wa mazingira.
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Shambulizi Garissa:Serikali yajitetea
Serikali ya Kenya imeitetea idara yake ya usalama kufuatia shutma kwamba ilichelewa kukabiliana na shambulio la chuo cha Garissa
11 years ago
BBCSwahili01 May
Nigeria yajitetea kuhusu waliotekwa
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Nigeria amesema serikali isilaumiwe kuwa haikufanya chochote kuwaokoa wasichana waliotekwa.
10 years ago
Mwananchi20 Aug
HESLB yajitetea malipo ya wanafunzi kuchelewa
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu(HESLB) imesema sababu iliyochelewesha kutoa fedha za mafunzo kwa vitendo kwa baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu vitano nchini imetokana na kuchelewa kupata fedha kutoka Hazina.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania