Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Indonesia yajitetea kwa kuwaua 8

Indonesia imetetea uamuzi wake kuwauwa walanguzi wanane wa dawa za kulevya wakiwemo raia saba wa kigeni

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa kuwaua, kuwang’oa meno tembo

MKAZI wa Kijiji cha Malolo B, Tarafa ya Mikumi, wilayani Kilosa anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuua tembo wawili kwa risasi ndani ya Hifadhi na kuwang’oa meno manne kwa kutumia shoka.

 

10 years ago

GPL

37 WAUAWA KWA AJALI YA NDEGE INDONESIA

Umati wa watu wakishuhudia ajali hiyo ilivyotokea. Kikosi cha Usalama wakiondoa taili la ndege hiyo eneo la tukio. Kikosi cha uokoaji wakitathimini namna ambavyo ajali hiyo ilivyotokea na kuharibu majengo. Shughuli…

 

5 years ago

BBCSwahili

Baba wa Garil aliuawa kwa bomu nchini Indonesia

Baba wa Garil aliuawa kwa bomu nchini Indonesia, shambulio hilo la kigaidi lilitokea wakati Garil akiwa mwanafunzi wa shule ya msingi

 

11 years ago

Mwananchi

Kampuni ya Erolink yajitetea

Kampuni ya Uwakala wa Ajira chini ya Erolink, imekanusha taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari kuwa Mkurugenzi wa kampuni hiyo, ametoroka nchini kukwepa mkono wa Serikali kutokana na kampuni hiyo kushindwa kulipa kodi katika kipindi cha miaka mitatu ya utoaji huduma.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamke wa Indonesia anusurika kifungo jela kwa kuingiza mbwa msikitini

Kanda ya video ya mwanamke huyo mwenye akili punguani akiingia msikitini nchini Indonesia ilisambaa sana mwaka uliopita

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yajitetea ubovu miundombinu

Wizara ya Ujenzi imesema kuwa asilimia kubwa ya miundombinu iliyoharibiwa na mafuriko haikujengwa chini ya kiwango kama inavyodaiwa, bali ni matokeo ya uharibifu wa mazingira.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi Garissa:Serikali yajitetea

Serikali ya Kenya imeitetea idara yake ya usalama kufuatia shutma kwamba ilichelewa kukabiliana na shambulio la chuo cha Garissa

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yajitetea kuhusu waliotekwa

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Nigeria amesema serikali isilaumiwe kuwa haikufanya chochote kuwaokoa wasichana waliotekwa.

 

10 years ago

Mwananchi

HESLB yajitetea malipo ya wanafunzi kuchelewa

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu(HESLB) imesema sababu iliyochelewesha kutoa fedha za mafunzo kwa vitendo kwa baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu vitano nchini imetokana na kuchelewa kupata fedha kutoka Hazina.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani