HESLB yajitetea malipo ya wanafunzi kuchelewa
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu(HESLB) imesema sababu iliyochelewesha kutoa fedha za mafunzo kwa vitendo kwa baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu vitano nchini imetokana na kuchelewa kupata fedha kutoka Hazina.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IX_OniWPjAM/XsbSfbrQ30I/AAAAAAALrNo/kmOwqzlw-GEHvLHPiLqkoYm2LcNf_D98wCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
HESLB: TUMEANZA MAANDALIZI YA MALIPO KWA WANAFUNZI NA VYUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-IX_OniWPjAM/XsbSfbrQ30I/AAAAAAALrNo/kmOwqzlw-GEHvLHPiLqkoYm2LcNf_D98wCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Katika taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Mawasiliano ilisema kuwa hatua hiyo ya kuanza kufanya malipo inafuatia maelekezo ya...
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Mikopo ya wanafunzi 40,836 tayari- HESLB
9 years ago
Michuzi07 Dec
Nafasi ya kazi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)
9 years ago
Dewji Blog06 Nov
HESLB yajivua lawama wanafunzi vyuo vikuu kukosa mikopo 2015/2016
Na Mwandishi wetu
Zaidi ya wanafundi 50,000 watashindwa kuendelea na masomo ya elimu ya juu kutokana na kushindwa kupata mikopo kutoka katika Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB).
Hayo yamebainika ikiwa ni siku nne tangu HESLB kutoa majina ya wanafunzi waliofanikiwa kupata mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016, huku idadi kubwa ikiwa haimo katika majina hayo.
Katika mwaka huu wa masomo bodi ya mikopo imeweza kuwapatia mikopo wanafunzi 12,000 pekee sawa na 17.1% ya waombaji zaidi ya 70,000,...
10 years ago
MichuziWanafunzi wawili walipiwa ada kwa malipo ya bima ya mama yao
Na Mwandishi Wetu, Dar es...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KpP6UOlLcGA/UwuWeczkRMI/AAAAAAAFPTA/Ah0uRv8o32k/s72-c/se1.jpg)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Kampuni ya Erolink yajitetea
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Shambulizi Garissa:Serikali yajitetea
11 years ago
BBCSwahili01 May
Nigeria yajitetea kuhusu waliotekwa