HESLB: TUMEANZA MAANDALIZI YA MALIPO KWA WANAFUNZI NA VYUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-IX_OniWPjAM/XsbSfbrQ30I/AAAAAAALrNo/kmOwqzlw-GEHvLHPiLqkoYm2LcNf_D98wCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Tunapenda kuwajulisha wanafunzi wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu inayotolewa na Serikali kupitia HESLB kuwa, tumeanza kufanya malipo yenye jumla ya thamani ya TZS 63.7 bilioni ikiwa ni fedha za chakula na malazi kwa ajili ya robo ya tatu ya mwaka wa masomo 2019/2020 na fedha hizo zitawafikia wanufaika wote kupitia vyuo vyao ifikapo Alhamisi, Mei 28, 2020.
Katika taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Mawasiliano ilisema kuwa hatua hiyo ya kuanza kufanya malipo inafuatia maelekezo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Aug
HESLB yajitetea malipo ya wanafunzi kuchelewa
9 years ago
Dewji Blog06 Nov
HESLB yajivua lawama wanafunzi vyuo vikuu kukosa mikopo 2015/2016
Na Mwandishi wetu
Zaidi ya wanafundi 50,000 watashindwa kuendelea na masomo ya elimu ya juu kutokana na kushindwa kupata mikopo kutoka katika Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB).
Hayo yamebainika ikiwa ni siku nne tangu HESLB kutoa majina ya wanafunzi waliofanikiwa kupata mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016, huku idadi kubwa ikiwa haimo katika majina hayo.
Katika mwaka huu wa masomo bodi ya mikopo imeweza kuwapatia mikopo wanafunzi 12,000 pekee sawa na 17.1% ya waombaji zaidi ya 70,000,...
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.
Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...
10 years ago
Habarileo22 May
HESLB walipa fedha za mkopo kwa vyuo 16
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema inaendelea kulipa fedha za mkopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini na tayari wanafunzi wa vyuo 16 wameshalipwa.
10 years ago
MichuziWanafunzi wawili walipiwa ada kwa malipo ya bima ya mama yao
Na Mwandishi Wetu, Dar es...
10 years ago
Michuzi01 Nov
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FQTmFO6YMlI/VHKrsEHo9DI/AAAAAAACvMg/q7_hMuXf5qQ/s72-c/1.jpg)
AIRTEL YAIBUKA NA UNI 255 KUTOA FULSA KWA WANAFUNZI VYUO VIKUU KUFAIDI INTANET KWA GHARAMA NAFUU KULIKO ZOTE
![](http://2.bp.blogspot.com/-FQTmFO6YMlI/VHKrsEHo9DI/AAAAAAACvMg/q7_hMuXf5qQ/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-75BNy6vWUBs/VHKr16bgTcI/AAAAAAACvNE/VDaTi1NG_98/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XobTG8h4jrg/VHKr47z_2wI/AAAAAAACvNk/tCaK-x_oxlo/s1600/6.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0N5HrTIhFU0/XnOHCiiFGJI/AAAAAAALkdo/lBUJC6JZ-lEnpaGbabLCpMn9infR4isEgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B17.18.37.jpeg)
WANAFUNZI WALALAMIKIA USAFIRI BAADA YA VYUO KUFUNGWA KWA SABABU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0N5HrTIhFU0/XnOHCiiFGJI/AAAAAAALkdo/lBUJC6JZ-lEnpaGbabLCpMn9infR4isEgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B17.18.37.jpeg)
WANAFUNZI wa Vyuo Vikuu na vya kati jijini Dodoma wameishukuru serikali kwa kufunga vyuo hivyo ili kuondoa msongamano katika maeneo yao ya vyuo unaoweza kusababisha maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona.
Wakizungumza na Michuzi leo jijini Dodoma wanafunzi hao wamesema kuwa ikitokea mmoja wao amekumbwa na virusi vya corona ingeweza kusambaa kwa kasi kubwa na kupelekea maambukizi kuenea kwa haraka zaidi hivyo serikali imefanya jambo la busara kufunga vyuo na...
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Mikopo ya wanafunzi 40,836 tayari- HESLB