Wanafunzi wawili walipiwa ada kwa malipo ya bima ya mama yao
Mratibu Mratibu wa Bima ya Elimu kwa Uwapendao kutoka Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, Ruth Bura, akizungumza na baadhi ya watumishi wa shule ya sekondari James Sangu (hawapo pichani ) juu ya namna ya kujiunga na fao hilo kabla ya kufanyika kwa zoezi la makabidhiano ya hundi kwa Jaqline Ndyamkama ambaye ni mwanafunzi wa shule hiyo yenye thamani ya Tsh 3,000,000, baada ya mama yake Anna Jelle kufariki Dunia. Picha zote Emanuel Madafa, Mbeya.
Na Mwandishi Wetu, Dar es...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Sep
‘Muwashitaki wanaofukuza wanafunzi kwa ada’
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameagiza wazazi kuwashitaki walimu wakuu na wakuu wa shule wanaofukuza wanafunzi kutokana na kushindwa kulipa ada au michango mingine.
10 years ago
Habarileo23 Jan
SMZ :Marufuku wanafunzi kurejeshwa nyumbani kwa ada
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imewataka walimu wakuu kuacha tabia ya kuwasumbua na kuwarudisha shule wanafunzi ambao wazazi wao wameshindwa kulipa ada ya mwaka.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IX_OniWPjAM/XsbSfbrQ30I/AAAAAAALrNo/kmOwqzlw-GEHvLHPiLqkoYm2LcNf_D98wCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
HESLB: TUMEANZA MAANDALIZI YA MALIPO KWA WANAFUNZI NA VYUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-IX_OniWPjAM/XsbSfbrQ30I/AAAAAAALrNo/kmOwqzlw-GEHvLHPiLqkoYm2LcNf_D98wCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Katika taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Mawasiliano ilisema kuwa hatua hiyo ya kuanza kufanya malipo inafuatia maelekezo ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ap7xMJ_Wsv4/XmEwAWmsqzI/AAAAAAACDnw/L4LxrGv9usgoSfWdtWb_-wFzwuT3NbCNwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200305-WA0028.jpg)
Wafanyakazi zaidi ya 50 hoteli ya kitalii Ngurdoto waandamana kwa DC Arumeru wakidai malipo yao
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ap7xMJ_Wsv4/XmEwAWmsqzI/AAAAAAACDnw/L4LxrGv9usgoSfWdtWb_-wFzwuT3NbCNwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200305-WA0028.jpg)
Wakiongea mbele ya Mkuu huyo wa wilaya wamedai kuwa pamoja na kutolipwa mishahara yao ,wanadai makato ya mfuko wa kijamii wa nssf yamekuwa hayapelekwi na kupatà usumbufu mkubwa wanapoacha ama kuachishwa kazi .
Madai mengine ni wafanyakazi wa...
9 years ago
StarTV23 Nov
Mfuko Bima ya afya wakanusha tuhuma za  Ucheleweshaji Malipo Vituoni
Mfuko wa Taifa wa Bima ya afya NHIF umekanusha tuhuma zinazoelekezwa kwake za kuchelewesha kulipa madai kwenye vituo vinavyotumia huduma zake hatua inayochangia kudhorotesha utoaji huduma kwa watumiaji wa bima.
Mfuko huo umesema madai hayo hayana ukweli wowote, kwa kuwa imekuwa ikilipa madai yote yanayowasilishwa makao makuu kwa wakati ambao mara nyingine huwa ni siku chache zaidi ya muda unaotakiwa kisheria kulipa.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF Michael Mhando, anakutana na waandishi wa...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Kizimbani kwa kuoa wanafunzi wawili ndugu
JESHI la Polisi Wilaya ya Nkasi, linamshikilia Pius Jacob, mkazi wa Kijiji cha Chala kwa kosa la kuoa mwanafunzi wa darasa la tano katika shule ya msingi Kabwe, wilayani Nkasi....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXKmbZtyTakf6zIDeaM-Tqcl47yRkY7-EtPU7U3t-KUuPHqwuP1bBR47CqzwWzT01S*5EYoS3s41IddeoJAKFLRV/chuo.jpg?width=650)
WANAFUNZI WAWILI WA CHUO CHA MWENGE MOSHI WATUHUMIWA KWA UBAKAJI
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mama, watoto wake wawili wauawa kwa kuchinjwa
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Wanafunzi wasio na uwezo kulipiwa ada
SERIKALI kupitia halmashauri zote nchini ina mpango wa kuwasaidia na kuwalipia ada na michango mingine wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo. Kauli hiyoilitolewa bungeni jana na Waziri wa Elimu na...