Mfuko Bima ya afya wakanusha tuhuma za  Ucheleweshaji Malipo Vituoni
Mfuko wa Taifa wa Bima ya afya NHIF umekanusha tuhuma zinazoelekezwa kwake za kuchelewesha kulipa madai kwenye vituo vinavyotumia huduma zake hatua inayochangia kudhorotesha utoaji huduma kwa watumiaji wa bima.
Mfuko huo umesema madai hayo hayana ukweli wowote, kwa kuwa imekuwa ikilipa madai yote yanayowasilishwa makao makuu kwa wakati ambao mara nyingine huwa ni siku chache zaidi ya muda unaotakiwa kisheria kulipa.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF Michael Mhando, anakutana na waandishi wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWaziri wa Afya atembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya jijini Dar
11 years ago
Mwananchi01 Jul
AFYA: Hofu yatanda Mfuko Bima ya Afya
5 years ago
MichuziMFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA KUHAMASISHA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO NCHINI KUJIUNGA KIFURUSHI CHA MACHINGA AFYA KWA SH.100,000
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Nchini (NHIF) umeanzisha kifurushi cha 'Machinga Afya' kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo maarufu kwa jina la Wamachinga ambacho gharama yake ni Sh.100,000 tu.
Kwa mujibu wa NHIF ni kifurushi hicho baada mwanachama kujiunga na kulipa fedha hizo atapata huduma ya matibabu ya afya nchi nzima na katika vituo vya afya zaidi ya 7,700.
Akizungumzia leo Juni 9,2020 jijini Dar es Salaam Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja NHIF Hipoliti...
9 years ago
MichuziWANAMICHEZO WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA
Mkurunge wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) Eugen Mikongoti akifafanua jambo kwa wanahabar.
Wanahabari wakimsikiliza kwa makini Mkurugezi wa Mfuko wa...
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Zanzibar mbioni kujiunga na mfuko wa Bima ya Afya
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wa Pili kutoka Kulia akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Mfuko wa Bima ya Afya Tanzania ukiongozwa na Bwana Ezekiel Olouchi aliyepo kati kati yao. Kushoto kwa Balozi Seif ni Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya Kanda ya Zanzibar Nd. Ismail Kangeta, kulia ya Bwana Ezekiel Olouchi ni Mkurugenzi wa Wizara ya Afya aliyenyoa Nywele Dr. Moh’d Mohammed na Mkurugenzi wa ICT Nd. Ali Othman.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeombwa kuona haja kwa...
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Vituo vyazembea fursa mfuko bima ya afya
WAKATI kukiwa na tatizo la upatikanaji wa dawa hususani katika hospitali na vituo vya afya vya Serikali, hadi sasa ni vituo 225 tu kati ya 6,000 vilivyojitokeza kuomba mikopo ya...
10 years ago
MichuziMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
9 years ago
MichuziMFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA UMEPIGA HATUWA KUBWA
Waandishi wa habari wa kimsikiliza Mkurugenzi wa Matibabu na Huduma za kiufundi Dr. Frank Lekey kikao hicho kimefanyika leo jiji...