‘Muwashitaki wanaofukuza wanafunzi kwa ada’
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameagiza wazazi kuwashitaki walimu wakuu na wakuu wa shule wanaofukuza wanafunzi kutokana na kushindwa kulipa ada au michango mingine.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Jan
SMZ :Marufuku wanafunzi kurejeshwa nyumbani kwa ada
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imewataka walimu wakuu kuacha tabia ya kuwasumbua na kuwarudisha shule wanafunzi ambao wazazi wao wameshindwa kulipa ada ya mwaka.
10 years ago
MichuziWanafunzi wawili walipiwa ada kwa malipo ya bima ya mama yao
Na Mwandishi Wetu, Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Wanafunzi wasio na uwezo kulipiwa ada
SERIKALI kupitia halmashauri zote nchini ina mpango wa kuwasaidia na kuwalipia ada na michango mingine wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo. Kauli hiyoilitolewa bungeni jana na Waziri wa Elimu na...
10 years ago
Habarileo21 Aug
Wanafunzi 1,800 kulipiwa ada chuo kikuu
CHUO Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU) kimetangaza kutoa udhamini kwa wanafunzi 1,800 watakaojiunga kuanzia mwaka huu wa masomo kwa kuwalipia nusu ya ada.
9 years ago
Vijimambo01 Oct
NesiWangu: USIPITWE na DARASA la TOVUTI KWA RAIA MWANDAZI (SENIOR CITIZEN ) ADA $15:00 KWA MUHULA
![](http://eastbrooklyn.com/wp-content/uploads/2014/12/seniorsusingcomputers.jpg)
Image
eastbrooklyn.com
9 years ago
GPLWANAOSOMESHWA KWA ADA NAFUU WAMIMINIKA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...
9 years ago
Habarileo03 Dec
Ada elekezi kwa shule binafsi Desemba 15
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imewataka wazazi na walezi wenye wanafunzi wanaotegemea kuanza masomo au kuendelea na masomo katika shule binafsi mapema Januari mwezi ujao, kuvuta subira hadi Desemba 15, mwaka huu serikali itakapotoa maelekezo mbalimbali ikiwemo suala la ada elekezi.
10 years ago
MichuziDC Temeke aipongeza shule ya Twayyaibat kwa ada nafuu
DC Mjema aliyasema hayo alipofanya ziara katika shule...