WANAOSOMESHWA KWA ADA NAFUU WAMIMINIKA
Baadhi ya wanachuo wa Mlimani School of Professional Studies cha jijini Dar es Salaam, wakiwa darasani. Na Mwandishi Wetu Vijana kutoka mikoa mbalimbali wamezidi kumimika kutumia fursa ya kujipatia masomo ya ngazi ya chuo inayotolewa na Chuo cha Mlimani School of Professional Studies cha jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa chuo hicho Hassan Ngoma alisema idadi ya wanaojitokeza kujiunga na mpango huo maalumu wa kuwasaidia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDC Temeke aipongeza shule ya Twayyaibat kwa ada nafuu
DC Mjema aliyasema hayo alipofanya ziara katika shule...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSW*0*TWGZKb*OGr0UBQIK0M4MpyKjMPft4epDxpN7JoScyBZrJ31XxcBef*gpUvhYGDIEKsAmNqP-7Ntjj9kkIp/Wagombea.jpg)
WAGOMBEA URAIS WAMIMINIKA KWA MTABIRI
10 years ago
CloudsFM10 Feb
Hawa ndiyo watoto wa mitaani wanaosomeshwa na msanii cyrill Kamikaze
![](http://api.ning.com/files/741FtnVWixbaSUEZxk-tOn83QGr78Cx*SlXGqpoHojJO3NV4ThURKh-H1D1A4ZIdC17VIWtD0KYjFvBEaaVjaINNE46b5WVz/kamikaze1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/741FtnVWixaIhK5T5JsBQPUWJMBqkcZrkHfeYy1CMfTpMy7d6CbDHTch*StbiNBzu95F-4pLGh-9HKvPaBNNk9--KbF*81p5/kamikaze1.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Aug
WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA WAMIMINIKA KWA WINGI NA KUJIUNGA NA MFUKO WA MAFAO YA KUSTAAFU WA GEPF
![p2](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/p2.jpg?w=627&h=419)
![p1](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/p1.jpg?w=627&h=419)
![p4](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/p4.jpg?w=627&h=419)
9 years ago
Vijimambo01 Oct
NesiWangu: USIPITWE na DARASA la TOVUTI KWA RAIA MWANDAZI (SENIOR CITIZEN ) ADA $15:00 KWA MUHULA
![](http://eastbrooklyn.com/wp-content/uploads/2014/12/seniorsusingcomputers.jpg)
Image
eastbrooklyn.com
10 years ago
Habarileo22 Sep
‘Muwashitaki wanaofukuza wanafunzi kwa ada’
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameagiza wazazi kuwashitaki walimu wakuu na wakuu wa shule wanaofukuza wanafunzi kutokana na kushindwa kulipa ada au michango mingine.
9 years ago
Habarileo03 Dec
Ada elekezi kwa shule binafsi Desemba 15
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imewataka wazazi na walezi wenye wanafunzi wanaotegemea kuanza masomo au kuendelea na masomo katika shule binafsi mapema Januari mwezi ujao, kuvuta subira hadi Desemba 15, mwaka huu serikali itakapotoa maelekezo mbalimbali ikiwemo suala la ada elekezi.
10 years ago
Habarileo23 Jan
SMZ :Marufuku wanafunzi kurejeshwa nyumbani kwa ada
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imewataka walimu wakuu kuacha tabia ya kuwasumbua na kuwarudisha shule wanafunzi ambao wazazi wao wameshindwa kulipa ada ya mwaka.
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Vyuo vikuu marukufu kutoza ada kwa dola
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imepiga marufuku vyuo vikuu kutoza ada kwa dola kwa wanafunzi Watanzania wanaosoma katika vyuo hivyo. Kauli hiyo ilitolewa bungeni mjini hapa...