Hawa ndiyo watoto wa mitaani wanaosomeshwa na msanii cyrill Kamikaze
![](http://api.ning.com/files/741FtnVWixbaSUEZxk-tOn83QGr78Cx*SlXGqpoHojJO3NV4ThURKh-H1D1A4ZIdC17VIWtD0KYjFvBEaaVjaINNE46b5WVz/kamikaze1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/741FtnVWixaIhK5T5JsBQPUWJMBqkcZrkHfeYy1CMfTpMy7d6CbDHTch*StbiNBzu95F-4pLGh-9HKvPaBNNk9--KbF*81p5/kamikaze1.jpg)
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhyFQpwENdpBdMYKOxaPB-9kCR5X32Ya2*mrfFh2DC-JQAF-wjjh0hwd7h8gW2ebLSGnwkBnFN0cfDkad7zRx1AB/DIDYNALILKIM.jpg?width=650)
HAWA NDIYO WASHINDI WA TUZO ZA BET 2015
9 years ago
VijimamboBUNGE LA WATOTO OYSTERBAY SHULE YA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.
Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.
Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani akifuatilia hoja kwa makini.wakati kikao cha bunge la watoto likiendelea katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa...
11 years ago
CloudsFM29 May
HAWA NDIYO 'PANYA ROAD' WALIOKAMATWA NA JESHI LA POLISI
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanya msako wa nyumba kwa nyumba, mtaa na maeneo yaliyoathirika kwa hofu ya vijana ambao ni vibaka maarufu kama Mbwa mwitu au Panya Road. Msako huu uliofanyika ndani ya masaa 24 hadi alfajiri ya tarehe 26/5/2014 kwa lengo la kuwaondolea hofu na uhalifu dhidi ya makundi ya vijana wadogo wasio na ajira ambao uliibuka hivi karibuni.
Maeneo yaliyoathirika ni Kigogo, Magomeni, Tabata, maeneo yote yanayozunguka mto Msimbazi, maeneo ya Mbagala nk....
9 years ago
MichuziBUNGE LA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Bongo Movies10 Jun
Eagles Entertainment Kusaka vipaji mikoani, Wahusika Hawa ndiyo Wanahitajiaka
MWIGIZAJI wa filamu wa kike Yuster Kachara ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya Eagles Entertainment ametangaza kuwa kampuni yake inatarajia kusaka vipaji kutoka mikoani zaidi ya mine kwa ajili ya kurekodi tamthilia itayorushwa katika moja ya televisheni kubwa hapa nchini.
“Tunahitaji kupanua wigo wa tasnia ya filamu kwa sasa ikiwa ni pamoja na kuwashirikisha wasanii kutoka mikoani ambao muda mwingi wamekuwa ni watazamaji tu, hivyo tukiwatumia katika tamthilia ni rahisi kushiriki wengi na...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Tusiwanyanyapae watoto wa mitaani
HIVI sasa kuna wimbi la watoto wa mitaani katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam ambao hawana uangalizi kama walivyo watoto wengine. Ni fursa sasa kwa jamii kujiuliza...
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Baada ya Swansea kumfukuza kazi kocha, hawa ndiyo wanatajwa kuchukua nafasi
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Klabu ya Swansea ambayo jana jioni ilitoka taarifa kumfukuza kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Garry Monk (pichani) sababu ikiwa ni kuwa na matokeo wanayopata msimu huu kutowaridhisha viongozi na mashabiki wa timu hiyo.
Baada ya kufukuzwa kazi kwa Monk, tayari baadhi ya makocha wakihusishwa kuchukua nafasi ya Monk ambayo kwa sasa ipo wazi.
Kwa mujibu wa gazeti la Daily Express la Wingereza limeripoti kuwa, Kocha wa klabu ya Rangers ya Wingereza, Mark Warburton na...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Watoto wa mitaani wanavyobakwa Sumbawanga
9 years ago
Bongo Movies30 Aug
Hawa Ndiyo Wasanii Mbalimbali Waliojitokeza Viwanja vya Jangwani Kwenye Uzinduzi wa Kampeni za UKAWA
Hawa Ndiyo Wasanii Mbalimbali Waliojitokeza Viwanja vya Jangwani Kwenye Uzinduzi wa Kampeni za UKAWA
Credit:MillardAyo.Com