Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya Swansea kumfukuza kazi kocha, hawa ndiyo wanatajwa kuchukua nafasi

image

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Klabu ya Swansea ambayo jana jioni ilitoka taarifa kumfukuza kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Garry Monk (pichani) sababu ikiwa ni kuwa na matokeo wanayopata msimu huu kutowaridhisha viongozi na mashabiki wa timu hiyo.

Baada ya kufukuzwa kazi kwa Monk, tayari baadhi ya makocha wakihusishwa kuchukua nafasi ya Monk ambayo kwa sasa ipo wazi.

Kwa mujibu wa gazeti la Daily Express la Wingereza limeripoti kuwa, Kocha wa klabu ya Rangers ya Wingereza, Mark Warburton na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Real Madrid yamtimua kazi Benitez, Zidane kuchukua nafasi yake

Real Madrid's new French coach Zinedine Zidane (L) is congratulated by Real Madrid's president Florentino Perez after a statement at the Santiago Bernabeu stadium in Madrid on January 4, 2016. Rafael Benitez's unhappy reign in charge of Real Madrid came to an end after just seven months and 25 games when he was sacked and replaced by club legend Zinedine Zidane today.   AFP PHOTO/ GERARD JULIENGERARD JULIEN/AFP/Getty Images

Rais wa Klabu ya Real Madrid ya Hispania, Florentino Perez akimpongeza Zinedine Zidane baada ya kumtangaza rasmi kocha mpya wa timu ya Real Madrid.(Picha na AFP).

Rafa-Benitez-700

Rafa Benitez.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Klabu ya Real Madrid ya Hispania usiku wa kuamkia jumanne imetoa taarifa ya kumfukuza kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo, Rafa Benitez.

Hatua ya Real Madrid kumtikua kazi Benitez imekuja baada ya kupata matokeo ya sare ya goli 2 kwa 2 dhidi ya Valencia hali iliyopelekea uongozi wa klabu...

 

9 years ago

Dewji Blog

2016 mwaka wangu wa mwisho – Gerrard, hii ndiyo kazi anayowaza kufanya baada ya kustaafu

football-gerrard-steven_3304393

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard (pichani) amesema anapenda kustaafu kucheza soka mwaka huu na kufanya kazi nyingine.

Gerrard ambaye ambaye aliondoka Liverpool mwaka uliyopita na kwenda kucheza Ligi ya Marekani MLS ambayo kwa sasa imemalizika aliliambia gazeti la Telegraph kuwa hana uhakika kwa asilimia zote kama utakuwa mwaka wake wa mwisho lakini anapendelea iwe hivyo.

“Sina...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Hakuna Mtu Anaweza Kuchukua Nafasi Yako Kama Upo Kwenye Nafasi Yako-Lulu

Hayo ni maneno ambayo mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” aliyaandika kwa lungha ya kingereza kabla ya kuzitupia picha hizo hapo juu.

“Cant Nobody Take Your Place If You're In Your Place...!”

Kiukweli, kama utaweka chuki zako pembeni, utakubaliana na mimi kuwa Lulu ni mwigizaji anaependa na kwenda na fasheni kuwashinda waigizaji wote wa hapa bongo.

Jionee picha hizo.

By Mzee wa Ubuyu

 

9 years ago

Bongo5

Swansea City yamtimua kocha wao Garry Monk

2F2C01D600000578-3353199-image-a-5_1449698720082

Klabu ya Swensea City hatimaye imemtimua kocha wake Garry Monk baada ya kushinda mchezo mmoja kati ya 11 ambayo ameingoza Swansea kwenye ligi ya England msimu huu.

2F2C01D600000578-3353199-image-a-5_1449698720082

Kocha huyo mwenye miaka 36 ameitumikia klabu hiyo zaidi ya miaka 11 akianza kama mchezaji lakini baadaye mwaka 2014 akakabidhiwa timu hiyo kama kocha mkuu akichukua nafasi ya Michael Laudrup.

Kufuatia kipigo cha Jumamosi iliyopita cha magoli 3-0 dhidi ya Leicester City ulikuwa ndio mchezo wake wa mwisho kama kocha na ameiacha...

 

9 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

HAWA NDIYO WASHINDI WA TUZO ZA BET 2015

Diddy na Lil Kim wakifanya makamuzi katika utoaji tuzo za BET 2015. Janet Jackson akiwa na tuzo yake. Rihanna katika…

 

11 years ago

BBCSwahili

Laudrup afutwa kazi na Swansea

Uvumi wasambaa kuhusu hatma ya Laudrup baada ya Swansea kushindwa 2-0 na West Ham .

 

11 years ago

CloudsFM

HAWA NDIYO 'PANYA ROAD' WALIOKAMATWA NA JESHI LA POLISI

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanya msako wa nyumba kwa nyumba, mtaa na maeneo yaliyoathirika kwa hofu ya vijana ambao ni vibaka maarufu kama Mbwa mwitu au Panya Road. Msako huu uliofanyika ndani ya masaa 24 hadi alfajiri ya tarehe 26/5/2014 kwa lengo la kuwaondolea hofu na uhalifu dhidi ya makundi ya vijana wadogo wasio na ajira ambao uliibuka hivi karibuni.Maeneo yaliyoathirika ni Kigogo, Magomeni, Tabata, maeneo yote yanayozunguka mto Msimbazi, maeneo ya Mbagala nk....

 

10 years ago

CloudsFM

Hawa ndiyo watoto wa mitaani wanaosomeshwa na msanii cyrill Kamikaze

Msanii wa Bongo Fleva, cyrill Kamikaze ameamua kurudisha fadhila kwa jamii baada ya kuamua kuwasomesha watoto wa mitaani walioshindwa kusoma kutoka na wazazi wao kutowasomesha kwa sababu mbalimbali ikiwemo ada ya shule.Msanii amefunguka kuwa watoto hao alikutana nao alipokuwa kwenye shughuli za kikazi mkoani Mbeya na watoto hao wanaanza kusoma katika shule iliyopo mkoani humo.Akizungumzia atawasomesha hadi elimu gani alisema kuwa hadi uwezo wake utakapoishia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani