Swansea City yamtimua kocha wao Garry Monk
Klabu ya Swensea City hatimaye imemtimua kocha wake Garry Monk baada ya kushinda mchezo mmoja kati ya 11 ambayo ameingoza Swansea kwenye ligi ya England msimu huu.
Kocha huyo mwenye miaka 36 ameitumikia klabu hiyo zaidi ya miaka 11 akianza kama mchezaji lakini baadaye mwaka 2014 akakabidhiwa timu hiyo kama kocha mkuu akichukua nafasi ya Michael Laudrup.
Kufuatia kipigo cha Jumamosi iliyopita cha magoli 3-0 dhidi ya Leicester City ulikuwa ndio mchezo wake wa mwisho kama kocha na ameiacha...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Garry Monk atupiwa virago Swansea City
9 years ago
Bongo526 Oct
Klabu ya Aston Villa yamtimua kocha wao Tim Sherwood
10 years ago
GPLMbeya City yamtimua kocha Simba
10 years ago
BBCBony move 'right' for Swansea - Monk
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Swansea yamtimua Laudrup
11 years ago
GPLMBEYA CITY YACHARUKA ISHU YA KOCHA WAO KUJENGEWA NYUMBA NA AZAM FC
11 years ago
MichuziSIMBA YAMTIMUA KOCHA WAKE
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Aston Villa yamtimua Kocha wake
10 years ago
Vijimambo02 Mar
AZAM FC YAMTIMUA KOCHA BAADA YA KIPIGO CHA UGENINI
Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa facebook wa Azam FC muda mfupi uliopita, Uongozi wa Azam FC umetangaza kumtimua raia huyo wa Cameroon.
Taarifa hiyo inasomeka: “Uongozi wa Azam FC unatangaza kuachana na kocha wake mkuu Joseph Omog baada ya kuwa naye kwa miezi 14.
Omog aliyeipa Azam FC ubingwa wa kwanza msimu...