Swansea yamtimua Laudrup
Klabu ya Swansea imemtimua kocha wao, Michael Laudrup na kuamua kumkabidhi timu nahodha wa klabu hiyo, Garry Monk aiongoze katika mechi ya Jumamosi dhidi ya Cardiff.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Laudrup afutwa kazi na Swansea
9 years ago
Bongo510 Dec
Swansea City yamtimua kocha wao Garry Monk

Klabu ya Swensea City hatimaye imemtimua kocha wake Garry Monk baada ya kushinda mchezo mmoja kati ya 11 ambayo ameingoza Swansea kwenye ligi ya England msimu huu.
Kocha huyo mwenye miaka 36 ameitumikia klabu hiyo zaidi ya miaka 11 akianza kama mchezaji lakini baadaye mwaka 2014 akakabidhiwa timu hiyo kama kocha mkuu akichukua nafasi ya Michael Laudrup.
Kufuatia kipigo cha Jumamosi iliyopita cha magoli 3-0 dhidi ya Leicester City ulikuwa ndio mchezo wake wa mwisho kama kocha na ameiacha...
11 years ago
BBCSwahili26 May
Esperance yamtimua Krol
10 years ago
BBCSwahili26 Oct
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Gambia yamtimua mwakalishi wa EU
11 years ago
Mwananchi06 Oct
JWTZ yamtimua kazi askari
10 years ago
StarTV04 Apr
Zimbabwe:ZANU-PF yamtimua Bi Mujuru
Aliyekuwa makamu wa rais nchini Zimbabwe Joice Mujuru amefukuzwa katika chama tawala ZANU-PF.
Chama hicho kinasema alipanga njama za kumuondoa mamlakani rais Robert Mugabe mbali na kukiharibia jina chama hicho- madai ambayo ameyakana hapo mbeleni .
Bi Mujuru alipigana vita vya Guerilla pamoja na Mugabe miaka ya sabini dhidi ya uongozi wa weupe na alionekana kama mrithi wake,kabla ya kukosana naye mwaka uliopita swala lililomfanya kufutwa kazi kama makamu wa rais mnamo mwezi...
10 years ago
CloudsFM16 Dec
Yanga SC yamtimua rasmi Maximo.
Maximo anaondolewa katika kikosi hicho akiwa ameshiriki katika mechi tisa tu za...
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Sunderland yamtimua Gus Poyet