Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zimbabwe:ZANU-PF yamtimua Bi Mujuru

Aliyekuwa makamu wa rais nchini Zimbabwe Joice Mujuru amefukuzwa katika chama tawala ZANU-PF.

Chama hicho kinasema alipanga njama za kumuondoa mamlakani rais Robert Mugabe mbali na kukiharibia jina chama hicho- madai ambayo ameyakana hapo mbeleni .

Bi Mujuru alipigana vita vya Guerilla pamoja na Mugabe miaka ya sabini dhidi ya uongozi wa weupe na alionekana kama mrithi wake,kabla ya kukosana naye mwaka uliopita swala lililomfanya kufutwa kazi kama makamu wa rais mnamo mwezi...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Zimbabwe:ZANU-PF chamtimua Bi Mujuru

Aliyekuwa makamu wa rais nchini Zimbabwe Joice Mujuru amefukuzwa katika chama tawala ZANU-PF.

 

9 years ago

Zimbabwe News

Mujuru Barmy Refuses To Surrender Zanu PF Assets - ZimEye


ZimEye - Zimbabwe News
Mujuru Barmy Refuses To Surrender Zanu PF Assets
ZimEye - Zimbabwe News
Masvingo Ousted Zanu PF Provincial chairman Paradzai Chakona who was accused of being expelled Joice Mujuru's “barmy” has refused to hand over party assets as intra party fighting intensifies.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makamu Rais Zimbabwe aondolewa ZANU-PF

Makamu Rais wa Zimbabwe,Joyce Muguru aondolewa kwenye Halmashauri kuu ya Chama, ZANU-PF

 

10 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana ahutubia mkutano Mkuu wa 6 wa ZANU PF Harare -Zimbabwe

KATIBU Mkuu wa CCm Ndg. Abdulrahaman Kinana , amekipongeza Chama Cha ZANU PF Cha Zimbabwe kwa kusimama imara licha ya Changamoto mbalimbali zinazoikabili Zimbambwe ikiwemo vikwazo vya kiuchumi ambavyo vimewekwa dhidi ya nchi hiyo.

Amewataka wana ZANU PF kuendelea kuunga mkono chama chao na kuongeza mapambano dhidi ya maadui wote wanaotaka kurudisha nyuma jitihada za kupigania maslahi ya nchi yao.

Akisoma salamu za mshikamano za Chama Cha Mapinduzi kwenye mkutano Mkuu wa ZANU PF...

 

9 years ago

Nehanda Radio

Mujuru tormentors taste own medicine


The Zimbabwe Standard
Mujuru tormentors taste own medicine
Nehanda Radio
Zanu PF politics is proving true the old adage that says those who live by the sword die by the sword, as a fresh wave of purges in the ruling party are targeting those who were instrumental in the dramatic ouster of former Vice-President Joice Mujuru ...
Media can't do PR for Zanu PFThe Zimbabwe Standard

all 33

 

10 years ago

BBCSwahili

ZANU-PF kwafukuta

Makamu wa raisi nchini Zimbabwe,Joyce Mujuru anapaswa kujiuzuru nyadhifa zake katika serikali na chama tawala cha ZANU-PF.

 

10 years ago

BBC

Mugabe fury over Mujuru 'death plot'

Zimbabwe's President Robert Mugabe hits out at his deputy Joyce Mujuru over allegations she plotted to assassinate him and accuses her of being a thief.

 

10 years ago

BBC

Mugabe's party expels rival Mujuru

Zimbabwe's former vice-president, Joyce Mujuru, is expelled from the ruling party over allegations she plotted to remove President Mugabe.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana aipongeza Zanu-PF

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amepongeza Chama cha Zanu-PF cha Zimbabwe, kwa kusimama imara licha ya changamoto mbalimbali zinazoikabili nchi hiyo, ikiwemo vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa dhidi ya nchi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani