Zimbabwe:ZANU-PF yamtimua Bi Mujuru
Aliyekuwa makamu wa rais nchini Zimbabwe Joice Mujuru amefukuzwa katika chama tawala ZANU-PF.
Chama hicho kinasema alipanga njama za kumuondoa mamlakani rais Robert Mugabe mbali na kukiharibia jina chama hicho- madai ambayo ameyakana hapo mbeleni .
Bi Mujuru alipigana vita vya Guerilla pamoja na Mugabe miaka ya sabini dhidi ya uongozi wa weupe na alionekana kama mrithi wake,kabla ya kukosana naye mwaka uliopita swala lililomfanya kufutwa kazi kama makamu wa rais mnamo mwezi...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Zimbabwe:ZANU-PF chamtimua Bi Mujuru
9 years ago
Zimbabwe News04 Nov
Mujuru Barmy Refuses To Surrender Zanu PF Assets - ZimEye
ZimEye - Zimbabwe News
ZimEye - Zimbabwe News
Masvingo Ousted Zanu PF Provincial chairman Paradzai Chakona who was accused of being expelled Joice Mujuru's “barmy” has refused to hand over party assets as intra party fighting intensifies.
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Makamu Rais Zimbabwe aondolewa ZANU-PF
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana ahutubia mkutano Mkuu wa 6 wa ZANU PF Harare -Zimbabwe
Amewataka wana ZANU PF kuendelea kuunga mkono chama chao na kuongeza mapambano dhidi ya maadui wote wanaotaka kurudisha nyuma jitihada za kupigania maslahi ya nchi yao.
Akisoma salamu za mshikamano za Chama Cha Mapinduzi kwenye mkutano Mkuu wa ZANU PF...
9 years ago
Nehanda Radio04 Nov
Mujuru tormentors taste own medicine
The Zimbabwe Standard
Nehanda Radio
Zanu PF politics is proving true the old adage that says those who live by the sword die by the sword, as a fresh wave of purges in the ruling party are targeting those who were instrumental in the dramatic ouster of former Vice-President Joice Mujuru ...
Media can't do PR for Zanu PFThe Zimbabwe Standard
all 33
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
ZANU-PF kwafukuta
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79516000/jpg/_79516912_79516835.jpg)
Mugabe fury over Mujuru 'death plot'
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82112000/jpg/_82112485_79604706.jpg)
Mugabe's party expels rival Mujuru
10 years ago
Habarileo06 Dec
Kinana aipongeza Zanu-PF
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amepongeza Chama cha Zanu-PF cha Zimbabwe, kwa kusimama imara licha ya changamoto mbalimbali zinazoikabili nchi hiyo, ikiwemo vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa dhidi ya nchi hiyo.