Makamu Rais Zimbabwe aondolewa ZANU-PF
Makamu Rais wa Zimbabwe,Joyce Muguru aondolewa kwenye Halmashauri kuu ya Chama, ZANU-PF
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Zimbabwe:ZANU-PF chamtimua Bi Mujuru
10 years ago
StarTV04 Apr
Zimbabwe:ZANU-PF yamtimua Bi Mujuru
Aliyekuwa makamu wa rais nchini Zimbabwe Joice Mujuru amefukuzwa katika chama tawala ZANU-PF.
Chama hicho kinasema alipanga njama za kumuondoa mamlakani rais Robert Mugabe mbali na kukiharibia jina chama hicho- madai ambayo ameyakana hapo mbeleni .
Bi Mujuru alipigana vita vya Guerilla pamoja na Mugabe miaka ya sabini dhidi ya uongozi wa weupe na alionekana kama mrithi wake,kabla ya kukosana naye mwaka uliopita swala lililomfanya kufutwa kazi kama makamu wa rais mnamo mwezi...
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana ahutubia mkutano Mkuu wa 6 wa ZANU PF Harare -Zimbabwe
Amewataka wana ZANU PF kuendelea kuunga mkono chama chao na kuongeza mapambano dhidi ya maadui wote wanaotaka kurudisha nyuma jitihada za kupigania maslahi ya nchi yao.
Akisoma salamu za mshikamano za Chama Cha Mapinduzi kwenye mkutano Mkuu wa ZANU PF...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IW434K84RNg/VUI3u6qsUPI/AAAAAAAHUUc/lrOHpFLarfY/s72-c/05.jpeg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AREJEA NCHINI BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA SADC, JIJINI HARARE, ZIMBABWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-IW434K84RNg/VUI3u6qsUPI/AAAAAAAHUUc/lrOHpFLarfY/s1600/05.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-arq73GJJVj0/VUI3wp8iyTI/AAAAAAAHUUk/gX9kwEd_-PE/s1600/5.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog30 Apr
Makamu wa Rais Dkt. bilal aiwakilisha Tanzania katika mkutano wa dharura wa viongozi wa nchi na Serikali Wanachama wa SADC, Harare Zimbabwe
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Hoteli ya Rainbow, jijini Harare, Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa dharura wa Viongozi wa Nchi Wanachama wa SDC, uliofunguliwa jana Aprili 29, 2015 na Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, Jijini unaojadili kuhusu Uendelezaji wa Viwanda.( Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati), akiwa na baadhi ya Viongozi wenzake katika...
10 years ago
Vijimambo29 Apr
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA DHARURA WA VIONGOZI WA NCHI NA SERIKALI WANACHAMA WA SADC KUHUSU UENDELEZAJI VIWANDA, HARARE ZIMBABWE.
![AD1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD1.jpg)
![AD2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD2.jpg)
![AD3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XYJbMnZG_Sw/VUKmXNRp_DI/AAAAAAAHUZg/77x3mHPrpZo/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AREJEA NCHINI BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA SADC, JIJINI HARARE, ZIMBABWE, MUGABE AKABIDHI RASMI CHUO CHA UTUNZAJI AMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-XYJbMnZG_Sw/VUKmXNRp_DI/AAAAAAAHUZg/77x3mHPrpZo/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Makamu wa Rais, Dkt. Bilal amkaribisha Makamu wa Rais wa China na Ujumbe wake Ikulu Dar leo, wasaini mikataba
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo juni 23, 2014 akiongozana na Ujumbe wake kwa ajili ya mazungumzo. Li Yuanchao, yupo nchini kwa ziara ya siku sita. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YPwXEIw3GTo/U6hMkVX-D6I/AAAAAAAFscM/6fq_J43Uu_k/s72-c/6.jpg)
MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AMKARIBISHA MAKAMU WA RAIS WA CHINA NA UJUMBE WAKE IKULU DAR LEO, WASAINI MIKATABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YPwXEIw3GTo/U6hMkVX-D6I/AAAAAAAFscM/6fq_J43Uu_k/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6HC0MKtC8mQ/U6hMncpZAAI/AAAAAAAFscY/9WxOhZ474cE/s1600/7.jpg)