Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZANU-PF kwafukuta

Makamu wa raisi nchini Zimbabwe,Joyce Mujuru anapaswa kujiuzuru nyadhifa zake katika serikali na chama tawala cha ZANU-PF.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria kwafukuta mgomo viwandani

Nigeria muungano wa vyama viwili vikuu vya wafanyakazi kwenye sekta ya mafuta wametoa tamko la kuanza kwa mgomo mkubwa wa kitaifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nishati na Madini kwafukuta tena

KASHFA ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh. bilioni 200) katika akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), inayowakabili vigogo wa Serikali wakiwemo Waziri...

 

10 years ago

Habarileo

Kinana aipongeza Zanu-PF

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amepongeza Chama cha Zanu-PF cha Zimbabwe, kwa kusimama imara licha ya changamoto mbalimbali zinazoikabili nchi hiyo, ikiwemo vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa dhidi ya nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bi Mugabe ateuliwa kuongoza ZANU-PF

Bi Grace Mugabe ameteuliwa kuongoza kitengo cha wanawake katika ZANU-PF

 

10 years ago

StarTV

Zimbabwe:ZANU-PF yamtimua Bi Mujuru

Aliyekuwa makamu wa rais nchini Zimbabwe Joice Mujuru amefukuzwa katika chama tawala ZANU-PF.

Chama hicho kinasema alipanga njama za kumuondoa mamlakani rais Robert Mugabe mbali na kukiharibia jina chama hicho- madai ambayo ameyakana hapo mbeleni .

Bi Mujuru alipigana vita vya Guerilla pamoja na Mugabe miaka ya sabini dhidi ya uongozi wa weupe na alionekana kama mrithi wake,kabla ya kukosana naye mwaka uliopita swala lililomfanya kufutwa kazi kama makamu wa rais mnamo mwezi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zimbabwe:ZANU-PF chamtimua Bi Mujuru

Aliyekuwa makamu wa rais nchini Zimbabwe Joice Mujuru amefukuzwa katika chama tawala ZANU-PF.

 

10 years ago

Mtanzania

Mke wa Mugabe apewa uongozi ZANU-PF

Mke wa Rais wa Zimbabwe, Grace Mugabe

Mke wa Rais wa Zimbabwe, Grace Mugabe

HARARE, ZIMBABWE

MKE wa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, Grace Mugabe, ameteuliwa kuwa kiongozi wa kitengo cha wanawake ndani ya chama tawala cha ZANU-PF.

Grace (49) atakabidhiwa rasmi wadhifa wa kuongoza kitengo hicho katika kongamano la kitaifa la chama hicho ambalo linatarajiwa kufanyika Desemba.

Kwa mujibu wa BBC, cheo hicho kitamruhusu kushiriki mikutano ya Kamati Kuu ya ZANU-PF ambayo kimsingi ndiyo yenye shinikizo kubwa la uendeshaji wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Makamu Rais Zimbabwe aondolewa ZANU-PF

Makamu Rais wa Zimbabwe,Joyce Muguru aondolewa kwenye Halmashauri kuu ya Chama, ZANU-PF

 

10 years ago

BBCSwahili

Mugabe ateuliwa tena kuongoza Zanu-PF

Rais Robert Mugabe ameteuliwa tena kuongoza chama tawala nchini Zimbabwe na mke wake Grace akapewa wadhifa wa juu katika chama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani