Mbeya City yamtimua kocha Simba
![](http://api.ning.com:80/files/kPWAOYVbPQbUv-OpJ7JelI6ETr0qGoyEnL1-y*x0QpYQzEX8zrI3Q-3wjL8bX7QfzYrOEzFekG1tQ2ubCMNqr8htVPZinTD6/mbeya.jpg)
Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola. Martha Mboma na Sweetbert Lukonge KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, ameomba kuondoka klabuni hapo ikiwa ni siku chache tangu timu hiyo ilipofungwa na Mbeya City mabao 2-1 katika Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa, Dar. Matola ambaye alianza kuifundisha timu hiyo msimu uliopita akisaidiana na aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, Zdravko Logarusic, ameomba kuondoka baada ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSIMBA YAMTIMUA KOCHA WAKE
9 years ago
Bongo510 Dec
Swansea City yamtimua kocha wao Garry Monk
![2F2C01D600000578-3353199-image-a-5_1449698720082](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F2C01D600000578-3353199-image-a-5_1449698720082-300x194.jpg)
Klabu ya Swensea City hatimaye imemtimua kocha wake Garry Monk baada ya kushinda mchezo mmoja kati ya 11 ambayo ameingoza Swansea kwenye ligi ya England msimu huu.
Kocha huyo mwenye miaka 36 ameitumikia klabu hiyo zaidi ya miaka 11 akianza kama mchezaji lakini baadaye mwaka 2014 akakabidhiwa timu hiyo kama kocha mkuu akichukua nafasi ya Michael Laudrup.
Kufuatia kipigo cha Jumamosi iliyopita cha magoli 3-0 dhidi ya Leicester City ulikuwa ndio mchezo wake wa mwisho kama kocha na ameiacha...
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Matokeo yamchanganya kocha Mbeya City
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Kocha atoa siri za Mbeya City
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kocha wa Yanga aizimia Mbeya City
9 years ago
Habarileo31 Dec
Kocha kuimarisha ushambuliaji Mbeya City
KOCHA wa Mbeya City, Abdul Mingange amesema atatumia mapumziko ya sasa kulifanyia kazi suala la umaliziaji katika kikosi hicho.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mashabiki Mbeya City wamlilia kocha
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Kocha Mwambusi bado anaaminika Mbeya City
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Kocha Matola amponza kiongozi wa Mbeya City