SIMBA YAMTIMUA KOCHA WAKE
Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana jioni wakati akitoa taarifa ya kumfuta kazi kocha aliyekuwa akiinoa timu hiyo,Zdravko Logarusic 'Loga' (hayupo pichani). Wengine pichani ni Wajumbe wa Kamati ya Utendaji wa Simba, Collin Frisch na Saidi Tully.
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Klabu ya Simba, Collin Frisch (kulia), akimsindikiza kwenda kupanda gari kocha wa timu hiyo Zdravko Logarusic...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kPWAOYVbPQbUv-OpJ7JelI6ETr0qGoyEnL1-y*x0QpYQzEX8zrI3Q-3wjL8bX7QfzYrOEzFekG1tQ2ubCMNqr8htVPZinTD6/mbeya.jpg)
Mbeya City yamtimua kocha Simba
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Aston Villa yamtimua Kocha wake
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mLrBGAdL3oY/Xkp1_I1xCcI/AAAAAAALdrI/8zhPOYS5wDgh7DuR8hJ60J9axAe8NUQgACLcBGAsYHQ/s72-c/ef4b9a83-76e4-472a-a6c6-217b14dbdace.jpg)
KLABU YA WYDAD CASABLANCA YA MOROCCO YAMTIMUA KOCHA WAKE MKUU.
Klabu ya Wydad Casablanca ya nchini Morocco imemtimua kazi kocha wake mkuu Sebastian Desabre mwezi mmoja tu tangu imteue kushika nafasi hiyo.
Kocha huyo amefutwa kazi mara baada ya klabu ya Wydad Casablanca kupoteza mchezo wake wa ligi weekend iliyopita dhidi ya klabu ya Eljadida kwa bao pekee la winga wa kimataifa wa Tanzania Simon Msuva. Bao hilo pekee na la ushindi katika mchezo huo lilitosha kuotesha nyasi kibarua cha kocha huyo.
Sebastian Desabre ameandamwa na...
10 years ago
Vijimambo02 Mar
AZAM FC YAMTIMUA KOCHA BAADA YA KIPIGO CHA UGENINI
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/OMOG.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa facebook wa Azam FC muda mfupi uliopita, Uongozi wa Azam FC umetangaza kumtimua raia huyo wa Cameroon.
Taarifa hiyo inasomeka: “Uongozi wa Azam FC unatangaza kuachana na kocha wake mkuu Joseph Omog baada ya kuwa naye kwa miezi 14.
Omog aliyeipa Azam FC ubingwa wa kwanza msimu...
9 years ago
Bongo510 Dec
Swansea City yamtimua kocha wao Garry Monk
![2F2C01D600000578-3353199-image-a-5_1449698720082](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F2C01D600000578-3353199-image-a-5_1449698720082-300x194.jpg)
Klabu ya Swensea City hatimaye imemtimua kocha wake Garry Monk baada ya kushinda mchezo mmoja kati ya 11 ambayo ameingoza Swansea kwenye ligi ya England msimu huu.
Kocha huyo mwenye miaka 36 ameitumikia klabu hiyo zaidi ya miaka 11 akianza kama mchezaji lakini baadaye mwaka 2014 akakabidhiwa timu hiyo kama kocha mkuu akichukua nafasi ya Michael Laudrup.
Kufuatia kipigo cha Jumamosi iliyopita cha magoli 3-0 dhidi ya Leicester City ulikuwa ndio mchezo wake wa mwisho kama kocha na ameiacha...
9 years ago
Bongo526 Oct
Klabu ya Aston Villa yamtimua kocha wao Tim Sherwood
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Shabiki mkongwe wa Simba amuomba MO kuendeleza mpango wake wa kuinunua Simba
Pichani ni Mohammed Dewji alipokuwa mgeni rasmi wa tamasha la Simba Day, akisalimiana na mmoja wa wadau kwenye jukwaa kuu. Kulia ni Nyange Kaburu. (Picha na Maktaba yetu).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mmoja wa mashabiki wa wakongwe wa klabu ya Simba, Stanbul Mponda amemuomba Bilionea namba moja nchini, Mohammed Dewji ‘MO’ kuendeleza mipango yake ya kuinunua Simba ili aweze kufanya uwekezaji kama alivyokuwa amepanga awali.
Mponda ameyasema hayo ikiwa ni siku chache zimepita za tarehe ya mwisho...
9 years ago
Michuzi14 Aug
SIMBA SPORT CLUB YAWA ZAWADIA MASHABIKI WAKE WA BAHATI NASIBU ILIYOICHEZWA SIMBA DAY
10 years ago
Habarileo10 Aug
Simba wamchefua kocha
KOCHA wa Simba, Dylan Kerr amesema licha ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya SCVilla ya Uganda juzi, hajafurahishwa na kiwango cha wachezaji wake.