KLABU YA WYDAD CASABLANCA YA MOROCCO YAMTIMUA KOCHA WAKE MKUU.
Na Yassir Simba, Michuzi Tv.
Klabu ya Wydad Casablanca ya nchini Morocco imemtimua kazi kocha wake mkuu Sebastian Desabre mwezi mmoja tu tangu imteue kushika nafasi hiyo.
Kocha huyo amefutwa kazi mara baada ya klabu ya Wydad Casablanca kupoteza mchezo wake wa ligi weekend iliyopita dhidi ya klabu ya Eljadida kwa bao pekee la winga wa kimataifa wa Tanzania Simon Msuva. Bao hilo pekee na la ushindi katika mchezo huo lilitosha kuotesha nyasi kibarua cha kocha huyo.
Sebastian Desabre ameandamwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo526 Oct
Klabu ya Aston Villa yamtimua kocha wao Tim Sherwood
11 years ago
MichuziSIMBA YAMTIMUA KOCHA WAKE
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Aston Villa yamtimua Kocha wake
10 years ago
GPLMbeya City yamtimua kocha Simba
9 years ago
Bongo510 Dec
Swansea City yamtimua kocha wao Garry Monk
Klabu ya Swensea City hatimaye imemtimua kocha wake Garry Monk baada ya kushinda mchezo mmoja kati ya 11 ambayo ameingoza Swansea kwenye ligi ya England msimu huu.
Kocha huyo mwenye miaka 36 ameitumikia klabu hiyo zaidi ya miaka 11 akianza kama mchezaji lakini baadaye mwaka 2014 akakabidhiwa timu hiyo kama kocha mkuu akichukua nafasi ya Michael Laudrup.
Kufuatia kipigo cha Jumamosi iliyopita cha magoli 3-0 dhidi ya Leicester City ulikuwa ndio mchezo wake wa mwisho kama kocha na ameiacha...
10 years ago
Vijimambo02 Mar
AZAM FC YAMTIMUA KOCHA BAADA YA KIPIGO CHA UGENINI
Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa facebook wa Azam FC muda mfupi uliopita, Uongozi wa Azam FC umetangaza kumtimua raia huyo wa Cameroon.
Taarifa hiyo inasomeka: “Uongozi wa Azam FC unatangaza kuachana na kocha wake mkuu Joseph Omog baada ya kuwa naye kwa miezi 14.
Omog aliyeipa Azam FC ubingwa wa kwanza msimu...
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
Mahakama yamtimua waziri mkuu wa Libya
9 years ago
StarTV18 Dec
Klabu Ya Chelsea Yamfuta kazi kocha Jose Mourinho.
Bodi ya klabu ya Chelsea The Blues ya England hatimaye imefikia uamauzi wa kumfuta kazi kocha Jose Mourinho chini ya mmiliki wake Roman Abramovic kufuatia matokeo mabaya kwenye ligi kuu ya England ikiwa katika nafasi ya 16 ya msimamo wa ligi hiyo.
Klabu hiyo bado haijatangaza rasmi lakini tayari bodi imepeana mkono wa kwaheri ikiwa ni miezi saba tangu alipoiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa EPL msimu uliopita.
Kipigo cha jumatatu wiki hii dhidi ya Leicester City cha mabao 2-1...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Kocha msaidizi wa Simba SC, Selemani Matola aachana rasmi na klabu hiyo!
Kocha Seleman Matola
Na Rabi Hume
Kocha msaidizi wa klabu ya Simba SC, Selemani Matola ametangaza rasmi kuacha kufanya kazi na Simba kufuatia kutokuwepo kwa maelewano mazuri na kocha mkuu, Dyran Kerr.
Matola amesema kuwa kwa kipindi kirefu amekuwa hana maelewano mazuri na kocha huyo kwa kila jambo ambalo anamshauli kocha mkuu Kerr kuwa akikataa na hata muda mwingine kumtolea maneno ya dharau.
Aidha Matola amesema kuonyesha kuwa kocha huyo hakuwa...