Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Klabu ya Aston Villa yamtimua kocha wao Tim Sherwood

Klabu ya Aston Villa imemtimua kazi kocha wake Tim Sherwood baada ya kushika wadhifa huo kwa miezi minane tu. Sherwood alipoteza mechi katika ligi kuu ya England kwa kuchapwa na Swansea kwa mabao 2-1. Kocha wa timu ya vijana chini ya miaka 21 wa Aston Villa, Kevin MacDonald, ndiye atakayeshika umeneja kwa muda mpaka atakapopatikana […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Aston Villa yamtimua Kocha wake

Aston Villa imemtimua Kocha wake Paul Lambert baada ya kushindwa kufanya vizuri kwenye michuano ya Ligi kuu England

 

9 years ago

BBCSwahili

Villa yamtimua Sherwood

Klabu ya soka ya Aston Villa imemfukuza kazi Meneja wake Tim Sherwood

 

5 years ago

Michuzi

KLABU YA WYDAD CASABLANCA YA MOROCCO YAMTIMUA KOCHA WAKE MKUU.

Na Yassir Simba, Michuzi Tv.

Klabu ya Wydad Casablanca ya nchini Morocco imemtimua kazi kocha wake mkuu Sebastian Desabre mwezi mmoja tu tangu imteue kushika nafasi hiyo.

Kocha huyo amefutwa kazi mara baada ya klabu ya Wydad Casablanca kupoteza mchezo wake wa ligi weekend iliyopita dhidi ya klabu ya Eljadida kwa bao pekee la winga wa kimataifa wa Tanzania Simon Msuva. Bao hilo pekee na la ushindi katika mchezo huo lilitosha kuotesha nyasi kibarua cha kocha huyo.

Sebastian Desabre ameandamwa na...

 

9 years ago

Bongo5

Aston Villa wapata kocha mpya

151102043048_remi_garde_512x288_gettyKlabu ya Aston Villa imemteua mkufunzi wa zamani wa Lyon, Remi Garde kuwa kocha wao mpya, kuchukua nafasi ya Tim Sherwood aliyefutwa kazi. Mfaransa huyo atasaini mkataba wa miaka mitatu na nusu na mechi yake ya kwanza itakuwa ni tarehe 2/11 Jumatatu dhidi ya Tottenham. Kocha huyo mwenye miaka 49 anachukua timu hiyo ikiwa inashika […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Aston Villa wamchukua kocha wa zamani wa Lyon

Aston Villa wamemchukua mkufunzi wa zamani wa Lyon Remi Garde kuwa kocha wao mpya, kujaza nafasi ya Tim Sherwood aliyefutwa kazi.

 

5 years ago

CCM Blog

KOCHA WA ASTON VILLA AFIWA NA BABA YAKE


ByRama Mwelondo TZAonMay 28, 2020
Baba wa kocha wa Aston Villa Dean Smith ambaye baba yake anafahamika kwa jina la Ron Smith afariki dunia akiwa na umri wa miaka 79, Ron afariki kwa kuugua Corona toka agundulike wiki nne zilizopita na kuwa hospitali kwa uangalizi.Ron Smith kwa miaka sita iliyopita hakuwa sawa alikuwa akisumbuliwa na tatizo la kupoteza kumbukumbu (dementia), katika historia ya mzee Ron aliwahi kuwa steward wa Aston Villa.

 

9 years ago

Bongo5

Swansea City yamtimua kocha wao Garry Monk

2F2C01D600000578-3353199-image-a-5_1449698720082

Klabu ya Swensea City hatimaye imemtimua kocha wake Garry Monk baada ya kushinda mchezo mmoja kati ya 11 ambayo ameingoza Swansea kwenye ligi ya England msimu huu.

2F2C01D600000578-3353199-image-a-5_1449698720082

Kocha huyo mwenye miaka 36 ameitumikia klabu hiyo zaidi ya miaka 11 akianza kama mchezaji lakini baadaye mwaka 2014 akakabidhiwa timu hiyo kama kocha mkuu akichukua nafasi ya Michael Laudrup.

Kufuatia kipigo cha Jumamosi iliyopita cha magoli 3-0 dhidi ya Leicester City ulikuwa ndio mchezo wake wa mwisho kama kocha na ameiacha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tim Sherwood:'Benteke ndiye bora Ulaya'

Christian Benteke ndiyo mshambuliaji bora Ulaya kulingana na Kocha wa Aston Villa Tim Sherwood.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kocha mpya wa Aston Villa, Remi Garde aanza kwa kipigo kutoka kwa Tottenham

Tighe-24

Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde.

Na Rabi Hume

Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde ameanza kwa kupokea kipigo katika mchezo wake wa kwanza akiwa kama meneja mpya wa klabu ya Aston Villa baada ya kupokea kipigo cha goli 3 kwa 1 kutoka kwa Totthenham Hotspur katika mchezo wa Ligu kuu ya nchini Wingereza uliochezwa katika uwanja wa White Hate Line.

Garde alipokea kipigo hicho akiwa jukwaani akiutazama mchezo huo ikiwa ni siku moja ya kwanza  baada ya kupewa mkataba wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani