Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha mpya wa Aston Villa, Remi Garde aanza kwa kipigo kutoka kwa Tottenham

Tighe-24

Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde.

Na Rabi Hume

Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde ameanza kwa kupokea kipigo katika mchezo wake wa kwanza akiwa kama meneja mpya wa klabu ya Aston Villa baada ya kupokea kipigo cha goli 3 kwa 1 kutoka kwa Totthenham Hotspur katika mchezo wa Ligu kuu ya nchini Wingereza uliochezwa katika uwanja wa White Hate Line.

Garde alipokea kipigo hicho akiwa jukwaani akiutazama mchezo huo ikiwa ni siku moja ya kwanza  baada ya kupewa mkataba wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Aston Villa wapata kocha mpya

151102043048_remi_garde_512x288_gettyKlabu ya Aston Villa imemteua mkufunzi wa zamani wa Lyon, Remi Garde kuwa kocha wao mpya, kuchukua nafasi ya Tim Sherwood aliyefutwa kazi. Mfaransa huyo atasaini mkataba wa miaka mitatu na nusu na mechi yake ya kwanza itakuwa ni tarehe 2/11 Jumatatu dhidi ya Tottenham. Kocha huyo mwenye miaka 49 anachukua timu hiyo ikiwa inashika […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Aston Villa hoi yapigwa na Tottenham 3-1

Aston Villa imepata kipigo kutoka kwa Tottenham 3-1

 

5 years ago

Birmingham Live

'Licking his lips' - Dean Smith's Aston Villa favourites likely to start tomorrow vs Tottenham

'Licking his lips' - Dean Smith's Aston Villa favourites likely to start tomorrow vs Tottenham  Birmingham LiveDimitar Berbatov states his prediction for Aston Villa v Tottenham  The Sport ReviewAn early review of Mahmoud Trezeguet's first season in the Premier League.  KingFutIf Tottenham reach the Champions League will that be success for Jose Mourinho? | Premier League  ESPN UKMichael Owen states his prediction for Aston Villa v Tottenham  The Sport ReviewView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Football.London

Tottenham injury and team news: Latest on Lo Celso, Davies and Bergwijn ahead of Aston Villa

Tottenham injury and team news: Latest on Lo Celso, Davies and Bergwijn ahead of Aston Villa  Football.LondonSky Sports pundit claims Tottenham 27-year-old lacks three qualities to replace Son  HITC - Football, Gaming, Movies, TV, MusicJose Mourinho’s plan of attack in Son Heung-Min’s absence  Hotspur HQTottenham injury and team news: Latest on Lo Celso, Davies and Bergwijn ahead of Aston Villa  Football.London‘What a player’: Some PL fans left stunned by news about Tottenham man  HITC -...

 

5 years ago

Goal.Com

Samatta: Aston Villa star makes Premier League home debut against Tottenham Hotspur

Samatta: Aston Villa star makes Premier League home debut against Tottenham Hotspur  Goal.comManchester United should pursue Jack Grealish over James Maddison  The Peoples PersonSteven Bergwijn Follows Highlight Reel Debut With Dangerous Display at Aston Villa  90min'Everyone has a chance' - Mourinho says Champions League race is wide open after Man City ban  Goal.comOpinion: Five Spurs players who did the team proud against Aston Villa  The Spurs WebView Full coverage on Google...

 

10 years ago

BBCSwahili

Aston Villa yamtimua Kocha wake

Aston Villa imemtimua Kocha wake Paul Lambert baada ya kushindwa kufanya vizuri kwenye michuano ya Ligi kuu England

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha mpya Toto Africans aanza kazi kwa mikwara

Kocha mkuu wa Toto Africans, Martin Glerics amewaambia maneno machache mashabiki wa timu hiyo kuwa amekuja nchini kufanya kazi na anataka kuing’arisha klabu hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aston Villa wamchukua kocha wa zamani wa Lyon

Aston Villa wamemchukua mkufunzi wa zamani wa Lyon Remi Garde kuwa kocha wao mpya, kujaza nafasi ya Tim Sherwood aliyefutwa kazi.

 

5 years ago

CCM Blog

KOCHA WA ASTON VILLA AFIWA NA BABA YAKE


ByRama Mwelondo TZAonMay 28, 2020
Baba wa kocha wa Aston Villa Dean Smith ambaye baba yake anafahamika kwa jina la Ron Smith afariki dunia akiwa na umri wa miaka 79, Ron afariki kwa kuugua Corona toka agundulike wiki nne zilizopita na kuwa hospitali kwa uangalizi.Ron Smith kwa miaka sita iliyopita hakuwa sawa alikuwa akisumbuliwa na tatizo la kupoteza kumbukumbu (dementia), katika historia ya mzee Ron aliwahi kuwa steward wa Aston Villa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani