KOCHA WA ASTON VILLA AFIWA NA BABA YAKE
ByRama Mwelondo TZAonMay 28, 2020Baba wa kocha wa Aston Villa Dean Smith ambaye baba yake anafahamika kwa jina la Ron Smith afariki dunia akiwa na umri wa miaka 79, Ron afariki kwa kuugua Corona toka agundulike wiki nne zilizopita na kuwa hospitali kwa uangalizi.Ron Smith kwa miaka sita iliyopita hakuwa sawa alikuwa akisumbuliwa na tatizo la kupoteza kumbukumbu (dementia), katika historia ya mzee Ron aliwahi kuwa steward wa Aston Villa.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Aston Villa yamtimua Kocha wake
9 years ago
Bongo502 Nov
Aston Villa wapata kocha mpya
![151102043048_remi_garde_512x288_getty](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/151102043048_remi_garde_512x288_getty-94x94.jpg)
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Aston Villa wamchukua kocha wa zamani wa Lyon
9 years ago
Bongo526 Oct
Klabu ya Aston Villa yamtimua kocha wao Tim Sherwood
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q3gTfdm7mQwBBgRoGloRO1jT46j-tL7pnUtBS0vC-nz9pYo2NUFCLv-oqS1CVWPVfvy2cfAx6MDDPzgL*jW55Kp/mtotu4.jpg?width=650)
MTITU AFIWA NA BABA YAKE
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Kocha mpya wa Aston Villa, Remi Garde aanza kwa kipigo kutoka kwa Tottenham
Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde.
Na Rabi Hume
Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde ameanza kwa kupokea kipigo katika mchezo wake wa kwanza akiwa kama meneja mpya wa klabu ya Aston Villa baada ya kupokea kipigo cha goli 3 kwa 1 kutoka kwa Totthenham Hotspur katika mchezo wa Ligu kuu ya nchini Wingereza uliochezwa katika uwanja wa White Hate Line.
Garde alipokea kipigo hicho akiwa jukwaani akiutazama mchezo huo ikiwa ni siku moja ya kwanza baada ya kupewa mkataba wa...
11 years ago
GPLJOHARI AFIWA NA BABA YAKE MDOGO
9 years ago
Bongo527 Oct
Rapper Songa afiwa na baba yake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzA0axHNXa1QL0MxF0lKc0r3*4UZ*aFlO30mzKI0cOd5544TiZf2wd5FdRTxeYlPy7llI4qfKI2loEFBPKHDU9wS/babtale.png)
BAB TALE AFIWA NA BABA YAKE MZAZI