Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aston Villa wapata kocha mpya

151102043048_remi_garde_512x288_gettyKlabu ya Aston Villa imemteua mkufunzi wa zamani wa Lyon, Remi Garde kuwa kocha wao mpya, kuchukua nafasi ya Tim Sherwood aliyefutwa kazi. Mfaransa huyo atasaini mkataba wa miaka mitatu na nusu na mechi yake ya kwanza itakuwa ni tarehe 2/11 Jumatatu dhidi ya Tottenham. Kocha huyo mwenye miaka 49 anachukua timu hiyo ikiwa inashika […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kocha mpya wa Aston Villa, Remi Garde aanza kwa kipigo kutoka kwa Tottenham

Tighe-24

Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde.

Na Rabi Hume

Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde ameanza kwa kupokea kipigo katika mchezo wake wa kwanza akiwa kama meneja mpya wa klabu ya Aston Villa baada ya kupokea kipigo cha goli 3 kwa 1 kutoka kwa Totthenham Hotspur katika mchezo wa Ligu kuu ya nchini Wingereza uliochezwa katika uwanja wa White Hate Line.

Garde alipokea kipigo hicho akiwa jukwaani akiutazama mchezo huo ikiwa ni siku moja ya kwanza  baada ya kupewa mkataba wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Aston Villa yamtimua Kocha wake

Aston Villa imemtimua Kocha wake Paul Lambert baada ya kushindwa kufanya vizuri kwenye michuano ya Ligi kuu England

 

9 years ago

BBCSwahili

Aston Villa wamchukua kocha wa zamani wa Lyon

Aston Villa wamemchukua mkufunzi wa zamani wa Lyon Remi Garde kuwa kocha wao mpya, kujaza nafasi ya Tim Sherwood aliyefutwa kazi.

 

5 years ago

CCM Blog

KOCHA WA ASTON VILLA AFIWA NA BABA YAKE


ByRama Mwelondo TZAonMay 28, 2020
Baba wa kocha wa Aston Villa Dean Smith ambaye baba yake anafahamika kwa jina la Ron Smith afariki dunia akiwa na umri wa miaka 79, Ron afariki kwa kuugua Corona toka agundulike wiki nne zilizopita na kuwa hospitali kwa uangalizi.Ron Smith kwa miaka sita iliyopita hakuwa sawa alikuwa akisumbuliwa na tatizo la kupoteza kumbukumbu (dementia), katika historia ya mzee Ron aliwahi kuwa steward wa Aston Villa.

 

9 years ago

Bongo5

Klabu ya Aston Villa yamtimua kocha wao Tim Sherwood

Klabu ya Aston Villa imemtimua kazi kocha wake Tim Sherwood baada ya kushika wadhifa huo kwa miezi minane tu. Sherwood alipoteza mechi katika ligi kuu ya England kwa kuchapwa na Swansea kwa mabao 2-1. Kocha wa timu ya vijana chini ya miaka 21 wa Aston Villa, Kevin MacDonald, ndiye atakayeshika umeneja kwa muda mpaka atakapopatikana […]

 

5 years ago

Daily Mail

Aston Villa given approval by Premier League to go ahead with sale of Villa Park

Aston Villa given approval by Premier League to go ahead with sale of Villa Park  Daily MailMbwana Samatta makes Aston Villa relegation claim  Sportslens.comAston Villa announce £69m loss despite sale of Villa Park  The GuardianSamatta shares secret to impressive start at Aston Villla  Goal.comAston Villa lost £68.9m as they were promoted to Premier League  BBC NewsView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Daily Mail

Leicester 4-0 Aston Villa: Foxes savage sorry Villa after Pepe Reina horror show

Leicester 4-0 Aston Villa: Foxes savage sorry Villa after Pepe Reina horror show  Daily MailLeicester 4-0 Aston Villa: Vardy brace swings Golden Boot race in his favour | Winners & Losers  SquawkaAston Villa unleash Samatta on Ndidi and Iheanacho’s Leicester City  Goal.comMerciless Leicester City increase Aston Villa's woes as Elmohamady features  KingFutVideo: ‘Like a YouTube player’ – Jamie Carragher on Spurs’ Tanguy Ndombele  CaughtOffsideView Full coverage on Google...

 

9 years ago

StarTV

  Kocha mpya wa Aston Villa  Asema hana miujiza ahitaji mshikamano.

 

Siku moja baada ya klabu ya Aston Villa ya England kumtambulisha kocha mpya Remi Garde kuchukua nafasi ya kocha Tim Sherwood aliyetimuliwa wiki mbili zilizopita, kocha huyo amesema kuwa hana miujiza na anachohitaji ni uvumilivu na mshikamano ndani ya timu.

Kocha Garde raia wa Ufaransa amebainisha kuwa ana kabiliwa na changamoto kubwa zaidi ya kuweka mambo sawa na itachukua muda  kwa timu hiyo kurudi katika mstari kutokana na matokeo mabaya yanayowazunguka ikiwa na pointi 4 tu katika...

 

10 years ago

BBC

Bournemouth 0-1 Aston Villa

Benin's Rudy Gestede comes off the bench to score a winner on his debut as Aston Villa beat Bournemouth.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani