Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha wa Yanga aizimia Mbeya City

>Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Van Der Pluijm ameshangazwa jinsi wachezaji wa Mbeya City walivyo fiti kwa asilimia 100 na kuahidi kuwapika wachezaji wake ili wafikie kiwango hicho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kocha kuimarisha ushambuliaji Mbeya City

KOCHA wa Mbeya City, Abdul Mingange amesema atatumia mapumziko ya sasa kulifanyia kazi suala la umaliziaji katika kikosi hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki Mbeya City wamlilia kocha

Baadhi ya mashabiki wa Mbeya City walioko jijini Mbeya, wamesema moja ya sababu ya timu yao kushindwa kuonyesha cheche zake kama ilivyokuwa msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara ni pengo linaonekana baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha msaidizi, Maka Mwalwisi.

 

10 years ago

Mwananchi

Matokeo yamchanganya kocha Mbeya City

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema wasihukumiwe kwa matokeo mabaya yanayotokea dimbani kwani yanamuumiza kila mtu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha atoa siri za Mbeya City

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi ametaja siri tatu za kikosi chake kuwa tishio kwenye msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Timu hiyo iliyopanda kwenye msimu huu wamefungwa mechi moja pekee na Yanga wakichapwa 1-0.

 

10 years ago

GPL

Mbeya City yamtimua kocha Simba

Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola. Martha Mboma na Sweetbert Lukonge
KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, ameomba kuondoka klabuni hapo ikiwa ni siku chache tangu timu hiyo ilipofungwa na Mbeya City mabao 2-1 katika Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa, Dar. Matola ambaye alianza kuifundisha timu hiyo msimu uliopita akisaidiana na aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, Zdravko Logarusic, ameomba kuondoka baada ya...

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Mbeya City aamini kitaeleweka kibao

KOCHA wa muda wa Mbeya City, Abdul Mingange, amesema kukosa wachezaji wenye uzoefu ndiyo sababu ya timu hiyo kufanya vibaya kwenye mechi zao za Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Matola amponza kiongozi wa Mbeya City

Hofu, hujuma na kusalitiana imetanda ndani ya ngome ya Mbeya City baada ya jana Mwenyekiti wa Tawi la Mwanjelwa, Wille Matala kutimuliwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Mwambusi bado anaaminika Mbeya City

Uongozi wa Mbeya City umesema hauna wazo la kuachana na kocha wao mkuu, Juma Mwambusi licha ya kufanya vibaya kwenye mechi saba za mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

9 years ago

Global Publishers

Yanga Vs Mbeya City Kikosi cha kwanza Yanga hiki hapa

SIMBA-YANGA-3.jpg
Wilbert Molandi na Ibrahim Mussa
YANGA imeendelea kuonyesha kuwa haitaki utani katika msimu huu wa 2015/16, hiyo ni kutokana na mazoezi ambayo timu hiyo imekuwa ikiyafanya lakini zaidi ni kuwa kikosi cha kwanza kipo kamili.
Yanga itakutana na Mbeya City, kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara lakini tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameshapata kikosi kitakachocheza mchezo huo na mbadala wa wale ambao watapata matatizo au kuwa nje ya uwanja kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani