Kocha wa Yanga aizimia Mbeya City
>Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Van Der Pluijm ameshangazwa jinsi wachezaji wa Mbeya City walivyo fiti kwa asilimia 100 na kuahidi kuwapika wachezaji wake ili wafikie kiwango hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo31 Dec
Kocha kuimarisha ushambuliaji Mbeya City
KOCHA wa Mbeya City, Abdul Mingange amesema atatumia mapumziko ya sasa kulifanyia kazi suala la umaliziaji katika kikosi hicho.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mashabiki Mbeya City wamlilia kocha
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Matokeo yamchanganya kocha Mbeya City
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Kocha atoa siri za Mbeya City
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kPWAOYVbPQbUv-OpJ7JelI6ETr0qGoyEnL1-y*x0QpYQzEX8zrI3Q-3wjL8bX7QfzYrOEzFekG1tQ2ubCMNqr8htVPZinTD6/mbeya.jpg)
Mbeya City yamtimua kocha Simba
9 years ago
Habarileo25 Oct
Kocha Mbeya City aamini kitaeleweka kibao
KOCHA wa muda wa Mbeya City, Abdul Mingange, amesema kukosa wachezaji wenye uzoefu ndiyo sababu ya timu hiyo kufanya vibaya kwenye mechi zao za Ligi Kuu Tanzania Bara.
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Kocha Matola amponza kiongozi wa Mbeya City
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Kocha Mwambusi bado anaaminika Mbeya City
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Yanga Vs Mbeya City Kikosi cha kwanza Yanga hiki hapa
Wilbert Molandi na Ibrahim Mussa
YANGA imeendelea kuonyesha kuwa haitaki utani katika msimu huu wa 2015/16, hiyo ni kutokana na mazoezi ambayo timu hiyo imekuwa ikiyafanya lakini zaidi ni kuwa kikosi cha kwanza kipo kamili.
Yanga itakutana na Mbeya City, kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara lakini tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameshapata kikosi kitakachocheza mchezo huo na mbadala wa wale ambao watapata matatizo au kuwa nje ya uwanja kwa...