Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBEYA CITY YACHARUKA ISHU YA KOCHA WAO KUJENGEWA NYUMBA NA AZAM FC

Kikosi cha timu ya Mbeya City FC. MBEYA CITY COUNCIL FOOTBALL CLUB
Mbeya FC
TAARIFA KWA UMMA UPOTOSHAJI UNAOTOLEWA DHIDI YA TIMU YETU KUELEKEA MCHEZO WA TAREHE 13/4/2014
Kwanza nachukua nafasi hii kuwashukuru kwa dhati wapenzi wote wa mchezo wa mpira wa miguu na wapenzi wa Mbeya City Fc popote pale walipo kwa kuiunga mkono timu yao muda wote wa michezo ya ligi kuu inayoelekea ukingoni hivi sasa.Klabu inathamini nafasi ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AZAM FC WAKIPASHA MISULI KABLA YA KUWAKABILI MBEYA CITY JIJINI MBEYA

Wachezaji wa Azam FC wakipasha misuli ndani ya Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya muda mfupi kabla ya kukwaana na Mbeya City leo. (PICHA NA…

 

9 years ago

Bongo5

Swansea City yamtimua kocha wao Garry Monk

2F2C01D600000578-3353199-image-a-5_1449698720082

Klabu ya Swensea City hatimaye imemtimua kocha wake Garry Monk baada ya kushinda mchezo mmoja kati ya 11 ambayo ameingoza Swansea kwenye ligi ya England msimu huu.

2F2C01D600000578-3353199-image-a-5_1449698720082

Kocha huyo mwenye miaka 36 ameitumikia klabu hiyo zaidi ya miaka 11 akianza kama mchezaji lakini baadaye mwaka 2014 akakabidhiwa timu hiyo kama kocha mkuu akichukua nafasi ya Michael Laudrup.

Kufuatia kipigo cha Jumamosi iliyopita cha magoli 3-0 dhidi ya Leicester City ulikuwa ndio mchezo wake wa mwisho kama kocha na ameiacha...

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki Mbeya City wamlilia kocha

Baadhi ya mashabiki wa Mbeya City walioko jijini Mbeya, wamesema moja ya sababu ya timu yao kushindwa kuonyesha cheche zake kama ilivyokuwa msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara ni pengo linaonekana baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha msaidizi, Maka Mwalwisi.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa Yanga aizimia Mbeya City

>Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Van Der Pluijm ameshangazwa jinsi wachezaji wa Mbeya City walivyo fiti kwa asilimia 100 na kuahidi kuwapika wachezaji wake ili wafikie kiwango hicho.

 

10 years ago

GPL

Mbeya City yamtimua kocha Simba

Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola. Martha Mboma na Sweetbert Lukonge
KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, ameomba kuondoka klabuni hapo ikiwa ni siku chache tangu timu hiyo ilipofungwa na Mbeya City mabao 2-1 katika Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa, Dar. Matola ambaye alianza kuifundisha timu hiyo msimu uliopita akisaidiana na aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, Zdravko Logarusic, ameomba kuondoka baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Matokeo yamchanganya kocha Mbeya City

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema wasihukumiwe kwa matokeo mabaya yanayotokea dimbani kwani yanamuumiza kila mtu.

 

9 years ago

Habarileo

Kocha kuimarisha ushambuliaji Mbeya City

KOCHA wa Mbeya City, Abdul Mingange amesema atatumia mapumziko ya sasa kulifanyia kazi suala la umaliziaji katika kikosi hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani