AIRTEL YAIBUKA NA UNI 255 KUTOA FULSA KWA WANAFUNZI VYUO VIKUU KUFAIDI INTANET KWA GHARAMA NAFUU KULIKO ZOTE
![](http://2.bp.blogspot.com/-FQTmFO6YMlI/VHKrsEHo9DI/AAAAAAACvMg/q7_hMuXf5qQ/s72-c/1.jpg)
Mkurugenzi wa Airtel Huduma kwa Wateja,Bi.Adriana Lyamba akimkabidhi kombe Nahodha wa timu ya Simba ya UDOM kwa kuibuka washindi wa mashindano ya Airtel Uni 255,yaliyofanyika katika viwanja vya michezo ndani ya Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM),Mashindano hayo yalifanyika mwishoni mwa wiki mkoani Dodoma.
Timu ya Simba ikishangilia mara baada ya kukabidhiwa kombe lao mara baada ya kuibuka kinara katika mashindano ya Soka ya Airtel 255.
Aidha Aneth Mugha ambaye ni Meneja Masoko wa Airtel...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLAIRTEL KUZINDUA AIRTEL UNI 255 J-MOSI MAALUM KWA VYUO VIKUU DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.
Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TaQrZA64zMM/XtPUMkBYcYI/AAAAAAALsJ8/KyjqrXyrX-Ua0jF5UbbNP6NyGLTAESnzQCLcBGAsYHQ/s72-c/fcb01361-5e86-4a68-ba27-ddb77d881bcb.jpg)
NAIBU WAZIRI OLE NASHA AVITAKA VYUO VIKUU KUTOA MAELEKEZO YA KUJIKINGA NA CORONA KWA WANAFUNZI
Naibu Waziri Ole Nasha ametoa maelekezo hayo jijini Dar es Salaam alipofanya ziara ya kukagua namna Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilivyoandaa mazingira kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya CORONA kwa wanafunzi kuelekea kuanza masomo Juni 1,...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--xl99hapjns/VijRTJ5EwJI/AAAAAAAIBsI/dC98ybPgTS0/s72-c/picha%2B1.jpg)
AIRTEL SMARTIFONIKA YALETA SIMU MPYA SOKONI NAFUU KULIKO ZOTE
![](http://1.bp.blogspot.com/--xl99hapjns/VijRTJ5EwJI/AAAAAAAIBsI/dC98ybPgTS0/s640/picha%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ayp70NlUZW4/VijRTFtLKXI/AAAAAAAIBsQ/rTmrpDtDlkE/s640/picha%2B1b.jpg)
10 years ago
Michuzi25 Nov
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
NEEC lahitimisha mafunzo ya wiki nane ya Ujasiriamali kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’i Issa akizungumza na wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini (hawapo pichani) wakati akifunga mafunzo ya wiki nane ya ujasiriamali kwa wanafunzi hao mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yaliendeshwa chini ya mpango wa Cambridge Development Initiative (CDI) ili kuimarisha mafunzo ya maswala ya ujasiriamali kwa wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini. CDI ni mpango ulioasisiwa na wanafunzi wa Chuo...
10 years ago
Dewji Blog03 Dec
Uwezo wa vyuo vikuu kuchukua wanafunzi wa sayansi bado changamoto kwa Tanzania kutimiza malengo ya EFA
Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Ufundi nchini Tanzania Mh. Dkt. Shukuru Kawambwa akifungua mkutano wa kimataifa wa kutathmini mafanikio na changamoto za utekelezaji wa malengo ya Mpango wa Kimataifa wa Elimu kwa Wote-EFA uliofanyika jijini Dar Es Salaam ambapo amesema tangu mwaka 2000 Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuelekea kutimiza malengo ya Mpango huo ikiwa ni utashi wa kisiasa na kuwajibika vikisaidiwa na kujitolea kwa wadau wa sekta ya elimu pamoja na washirika wa maendeleo.(Picha...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/DSC_0341.jpg?width=650)
UWEZO WA VYUO VIKUU KUCHUKUA WANAFUNZI WA SAYANSI BADO CHANGAMOTO KWA TANZANIA KUTIMIZA MALENGO YA EFA