Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbaroni kwa kuwaua, kuwang’oa meno tembo

MKAZI wa Kijiji cha Malolo B, Tarafa ya Mikumi, wilayani Kilosa anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuua tembo wawili kwa risasi ndani ya Hifadhi na kuwang’oa meno manne kwa kutumia shoka.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa meno ya tembo, gobore

MWANAKIJIJI wa Kilinda, wilayani Mlele, Katavi, Bathromeo Mtongwa (58), amekamatwa na vipande viwili  vya meno ya tembo vyenye uzito wa kilo 15, ambavyo thamani yake ni sh milioni 22. Pamoja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili mbaroni kwa meno ya tembo

JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia Fatuma Athumani (50) na Joel Antony kwa tuhuma za kukutwa na vipande tisa vya meno ya tembo ndani ya gari lenye namba ya usajili...

 

10 years ago

Habarileo

2 mbaroni kwa kukutwa na meno ya tembo

Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariWATU wawili wametiwa mbaroni na Polisi mjini Mpanda kwa kukutwa na meno ya tembo waliokamatwa yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 157 ndani ya basi la Adventure.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa vipande 6 vya meno ya tembo

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime na Rorya, mkoani Mara, linamshikilia Bahati Hunga (39) mkazi wa Mtaa wa Msati kwa tuhuma za kukutwa na meno ya tembo vipande 6...

 

11 years ago

Habarileo

Mkazi wa Itigi mbaroni kwa meno 21 ya tembo

POLISI mkoani Singida inamshikilia mkazi wa Kijiji cha Mwamagembe Tarafa ya Itigi wilayani Manyoni kwa tuhuma za kupatikana na vipande 21 vya meno ya tembo vyenye thamani ya Sh milioni 43.12 tu.

 

11 years ago

GPL

WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akionesha sehemu ya  vipande 8 vya meno ya tembo vilivyodakwa huko Tabata Kisiwani jijini Dar es salaam
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akikagua gari linalotuhumiwa kutumika.…

 

11 years ago

Michuzi

WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO

Jeshi la Polisi Kanda Maalum limefanikiwa kukamata vipande zaidi ya ishirini (20) vinavyodhaniwa kuwa ni meno ya Tembo vilivyokuwa vimehifadhiwa nadni ya mfuko maarufu kwa jina la kiroba. Tukio hili lilitokea tarehe 30/04/2014 katika kiwanda cha Nondo Steel Master kilichopo eneo la Mbozi Road (W) kipolisi Chang’ombe (M) kipolisi Temeke baada ya Polisi kupokea taarifa kuwa katika kiwanda hicho kuna mfuko wa kiroba wenye bidhaa hiyo umefichwa. Baada ya taarifa hizo askari kikosi cha Upelelezi...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kortini kwa kuuza meno ya tembo



 Ni yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni tano
NA FURAHA OMARY
WAFANYABIASHARA wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha na kuuza meno ya tembo yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni tano.

Washitakiwa hao, Salivius Matembo (39) na Manase Philemon (39), walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka ya uhujumu uchumi.
Mbele ya Hakimu Mkazi, Frank Moshi, Wakili wa Serikali, Pius Hilla akishirikiana na Mwendesha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani