Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama Bilal asihi Watanzania kujitoa

>Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Asha Bilal amesema, anasikitishwa na tabia za baadhi ya Watanzania hususan wenye uwezo wa kifedha kwa kutojitolea katika kuisaidia jamii inayoendelea kuishi kwenye hali ngumu za kimaisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Dk Bilal asihi uchangiaji uhifadhi mazingira nchini

Zaidi ya Sh90 milioni zimechangwa jijini hapa kwa ajili ya kusaidia hifadhi wa mazingira katika misitu ya milima ya Tao la Mashariki.

 

10 years ago

Habarileo

Mgimwa asihi Watanzania kulinda wanyamapori

NAIBU Waziri Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa amewasisitizia Watanzania kuendelea kuwalinda wanyamapori kwa hali na mali, kwani wanyama hao ni mali yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Bilal: Watanzania tudumishe amani

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka Watanzania wote kudumisha amani, mshikamano na upendo ili kudumisha matumaini ya maendeleo kwa vizazi vijavyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mama Bilal ahimiza uchangiaji

JAMII imetakiwa kujitolea kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kusaidia watu wanaokumbwa na changamoto za kimaisha ili kupunguza umaskini nchini. Rai hiyo ilitolewa jana na mke wa Makamu wa...

 

10 years ago

Habarileo

Bilal ahimiza amani, umoja kwa Watanzania

MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amesema kuwa ni wajibu wa kila Mtanzania kudumisha amani na umoja wa Taifa, ikiwa ni njia pekee ya kujiletea maendeleo ya haraka badala ya kuwa mabingwa wa kukosoa kila kitu.

 

11 years ago

Mwananchi

Dambaya asihi wasiondoke vipandevipande

Mwanahabari na mjumbe wa Bunge Maalumu, Hamis Dambaya amesema wajumbe wa Bunge hilo wanatakiwa kutumia uwezo wao wote kuwashawishi wenzao waliotoka nje, kurejea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama asihi ukweli katika Ebola

Rais Obama awasihi wananchi wa Marekani wasikize ukweli katika tishio la Ebola siyo maneno ya kuzusha uoga

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZUNGUMZA NA WATANZANIA WANAOISHI NCHINI NIGERIA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Watanzania wanaoishi Nchini Nigeria katika Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania mjini Abuja Nigeria leo May 29,2015. Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Mhe. Danniel Ole Njolai akimkabidhi zawadi ya saa iliyotolewa na Watanzania wanaoishi Nchini Nigeria Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, baada ya kuzungumza na Watanzania hao katika Ofisi ya Ubalozi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani