Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Bilal: Watanzania tudumishe amani

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka Watanzania wote kudumisha amani, mshikamano na upendo ili kudumisha matumaini ya maendeleo kwa vizazi vijavyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wananchi nawaomba, tudumishe amani.

Wananchi dumisha amani Malenga naja kuleta, nina wema wa  karima, Mtima watetema, maini yangu yachoma Naomba kutakata, ukweli nitausema Wananchi nawaomba, tudumishe amani.  

 

10 years ago

Habarileo

Bilal ahimiza amani, umoja kwa Watanzania

MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amesema kuwa ni wajibu wa kila Mtanzania kudumisha amani na umoja wa Taifa, ikiwa ni njia pekee ya kujiletea maendeleo ya haraka badala ya kuwa mabingwa wa kukosoa kila kitu.

 

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Bilal ahimiza amani, upendo

SERIKALI imewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuliombea Taifa ili libakie na amani, utulivu na upendo kwani ni tunu kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal,...

 

10 years ago

Habarileo

Bilal ataka viongozi wa dini kuombea taifa amani

Makamu wa Rais, Dk Ghalib BilalMAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Bilal amewataka viongozi na waumini wa dini zote nchini, kuombea taifa ili Uchaguzi Mkuu na kura ya maoni kwa ajili ya Kkatiba Inayopendekezwa zimalizike kwa amani na utulivu.

 

9 years ago

Raia Mwema

Watanzania hawajachoka na amani

KATIKA dunia hii kila jambo hutanguliwa na ishara.

Maggid Mjengwa

 

11 years ago

Mwananchi

Mama Bilal asihi Watanzania kujitoa

>Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Asha Bilal amesema, anasikitishwa na tabia za baadhi ya Watanzania hususan wenye uwezo wa kifedha kwa kutojitolea katika kuisaidia jamii inayoendelea kuishi kwenye hali ngumu za kimaisha.

 

9 years ago

StarTV

Watanzania watakiwa kuendeleza amani

 

WATANZANIA wametakiwa kuutumia mwaka mpya wa 2016 kuendeleza Sifa na Historia njema ya Tanzania katika kulinda na kudumisha amani iliyopo.

Kanisa la Tanzania Assemblies of God, TAG, mkoa wa Mbeya limesema kuingia mwaka mpya siyo sababu kwa Watanzania kuacha utamaduni wao wa kudumisha amani bali wanapaswa kuiendeleza sifa hiyo iliyoijengea Tanzania heshima Kimataifa.

Ushauri huo umetolewa na Mchungaji Kiongozi wa kanisa la TAG mkoa wa Mbeya, Addison Mwaijunga, wakati wa ibada maalum ya...

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania waonywa kuhusu amani

Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba.VIONGOZI wa dini, wanasiasa na wazee nchini wamewaonya Watanzania kujiepusha na viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani