Wananchi nawaomba, tudumishe amani.
Wananchi dumisha amani Malenga naja kuleta, nina wema wa karima, Mtima watetema, maini yangu yachoma Naomba kutakata, ukweli nitausema Wananchi nawaomba, tudumishe amani. Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Dk Bilal: Watanzania tudumishe amani
9 years ago
Bongo528 Oct
Nawaomba radhi mashabiki wangu sitaweza kutoa collabo yangu na Jose Chameleone Ijumaa hii — Barnaba
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Tunawapongeza wananchi kwa kulinda amani
9 years ago
StarTV05 Oct
Samia awahimiza wananchi kuendeleza amani
Mgombea mwenza wa kiti cha Urais wa Chama cha mapinduzi CCM Samia Suluhu amewaomba wananchii kote nchini kuhakikisha wanatoa taarifa katika vyombo vya usalama pindi wanapoona wageni wasiokuwa na taarifa zao katika kuelekea katika uchaguzi mkuu.
Samia ameyasema hayo alipokuwa akimaliza ziara yake ya kuomba kura pamoja na kunadi ilani ya uchaguzi ya chama hicho katika mkoa wa simiyu katika wilaya ya Maswa.
Katika kiwanja cha nguzo nane wilaya ya maswa baadhi ya wananchii wanakusanyika kwa...
9 years ago
StarTV01 Oct
Samia awatahadharisha wananchi kutunza amani
Chama cha Mapinduzi CCM kupitia Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais Samia Suluhu amewataka wananchi kulinda na kutunza amani iliyopo katika kipindi hiki cha Kampeni na Uchaguzi nchi nzima ili kuepuka kumwaga damu kama zilivyo nchi nyingine.
Samia ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara ulifanyika sirari,Tarime Mkoani Mara alipokuwa akifanya kampeni za kuomba kura pamoja na kunadi Ilani ya uchaguzi ya Chama hicho.
Mara baada ya viwanja vya kata ya sriar samia alipata nafasi ya kufafanua...
9 years ago
GPLLUBUVA: WANANCHI MSIHOFU UCHAGUZI UTAKUWA WA AMANI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qV4cj8sfEeA/VjmmC1rtGuI/AAAAAAAAve8/wuJWoKHaxsY/s72-c/chagonja.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KULINDA AMANI YA NCHI - CP CHAGONJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qV4cj8sfEeA/VjmmC1rtGuI/AAAAAAAAve8/wuJWoKHaxsY/s320/chagonja.jpg)
JESHI la Polisi limewataka wananchi kuendelea na utulivu kama walivyoonyesha wakati wa upigaji kura na hatimaye kupatikana katika siku ya uampishwaji wa Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Kamishina wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi hilo, Paul Chagonja amesema kuwa jeshi la polisi limeridhishwa na utulivu uliokuwepo wakati wa upigaji kura, na utulivu huo umeweza kufanya uchaguzi kwenda salama na hatimaye...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
‘Wananchi lindeni amani kipindi cha sikukuu’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u5DyPv24vBY/Xl-9z5Ol5oI/AAAAAAALhDs/5Np0gTJ6w58rx4qhNMgNurPKl48EIyB3ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B17.37.28.jpeg)