WANANCHI WATAKAOVURUGA AMANI YA NCHI KUKIONA - IGP SIRRO
![](https://1.bp.blogspot.com/-u5DyPv24vBY/Xl-9z5Ol5oI/AAAAAAALhDs/5Np0gTJ6w58rx4qhNMgNurPKl48EIyB3ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B17.37.28.jpeg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/rTG6Nyd0u68/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V6DO7O2Li-M/XtNkCs7Jp-I/AAAAAAALsGQ/bChG-4D2RycpZZyMhDa0UFbIA3JJJ-JUgCLcBGAsYHQ/s72-c/Sirro.jpg)
IGP SIRRO AWATAKA WANAOACHIWA KWA MSAMAHA WA RAIS KUFUATA SHERIA ZA NCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-V6DO7O2Li-M/XtNkCs7Jp-I/AAAAAAALsGQ/bChG-4D2RycpZZyMhDa0UFbIA3JJJ-JUgCLcBGAsYHQ/s640/Sirro.jpg)
IGP Sirro amesema hayo akiwa kwenye ziara ya ukaguzi mkoani Singida ambapo alizungumza na Polisi Kata waliopo kwenye mkoa huo na kuwataka kuendelea kushirikiana na wananchi katika mapambano dhidi ya uhalifu ikiwa pamoja na kutoa elimu kwa wananchi kuacha...
5 years ago
MichuziIGP SIRRO AFUNGUA MKUTANO WA NCHI 14 ZA SHIRIKISHO LA WAKUU WA POLISI MASHARIKI MWA AFRIKA
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Watakaovuruga uchaguzi ‘kukiona cha moto’
Polisi mkoani Morogoro, wamesema kikundi chochote cha watu kitakachojaribu kuvuruga uchaguzi wa leo wa Serikali za Mitaa, kitashughulikiwa ipasavyo ikiwamo kuchukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Leonard Paulo alisema wamepokea taarifa za kuwapo kundi la watu waliopanga kuvuruga uchaguzi huo unaofanyika nchini kote leo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wK8M-PehC7M/XnL_UacmGYI/AAAAAAALkYA/sOyMD2cxfo0DJOyF5AOMO66gu6yHmgIPACLcBGAsYHQ/s72-c/SIROO1.jpg)
IGP SIRRO TUMEJIPANGA KUKABILIANA NA UHALIFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-wK8M-PehC7M/XnL_UacmGYI/AAAAAAALkYA/sOyMD2cxfo0DJOyF5AOMO66gu6yHmgIPACLcBGAsYHQ/s640/SIROO1.jpg)
IGP Sirro amesema hayo wakati akikamilisha ziara yake ya ukaguzi katika Kanda Maalum ya Polisi...
5 years ago
MichuziIGP SIRRO AKUTANA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZYZ5PZ7bynw/Xun11_vXyZI/AAAAAAALuNg/4hS533_GrpIIDh3gx9Sa4rHS_TXHNmUiwCLcBGAsYHQ/s72-c/JH9A1202-2048x1365.jpg)
IGP SIRRO AFANYA MKUTANO KWA NJIA YA VIDEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZYZ5PZ7bynw/Xun11_vXyZI/AAAAAAALuNg/4hS533_GrpIIDh3gx9Sa4rHS_TXHNmUiwCLcBGAsYHQ/s640/JH9A1202-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JH9A1200-scaled.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro pamoja na wasaidizi wake leo 17/06/2020 jijini Dar es salaam, wakishiriki kwa njia ya mtandao (Video Conference ) mkutano wa Jumuiya ya Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi wa Nchi za Ukanda wa Kusini Mwa Afrika (SARPCCO) unaojumuisha nchi 15 ikiwemo Tanzania katika mkutano wake wa kawaida wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--S6GYknhw1Y/Xl0zQhKYO5I/AAAAAAALgcA/tMmO6XEZBh4_pgpsfPb2vJn1QLszai4cwCLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-768x512.jpg)
IGP SIRRO AWASILI MKOANI MANYARA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/--S6GYknhw1Y/Xl0zQhKYO5I/AAAAAAALgcA/tMmO6XEZBh4_pgpsfPb2vJn1QLszai4cwCLcBGAsYHQ/s640/1AA-768x512.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akikagua mradi wa ujenzi wa kituo cha Polisi kilichopo wilaya ya Chemba mkoani Dodoma, leo 02/03/2020 wakati akiwa safarini kuelekea mkoani Manyara kwa ajili ya ziara ya kikazi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-B3ynG1IlYZI/Xl0zbO6c_4I/AAAAAAALgcE/0Nh3Ix9zAlImhGm_VDvNB--8_K290JwxACLcBGAsYHQ/s640/2AA-768x563.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati), akizungumza na Kamanda wa Polisi mkoa wa Manyara, Paul Kasabago, wakati akipokelewa na mwenyeji wake kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi mkoani humo leo 02/03/2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-jlLQPfH4cdo/Xl0zfhPnj2I/AAAAAAALgcI/Fne-dO-zUS43NeCWP7TqgHYVwqQINnwaQCLcBGAsYHQ/s640/3AA-768x589.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro,...
5 years ago
MichuziIGP SIRRO AFANYA ZIARA YA UKAGUZI MKOA WA KIPOLISI ILALA
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati) akizungumza na Maofisa wa Jeshi hilo leo jijini Dar es salaam, wakati alipofanya ziara ya ukaguzi katika mkoa wa Kipolisi Ilala kwa lengo la kuona utayari wao na namna wanavyotekeleza majukumu yao ya kazi za Kipolisi. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na askari wa Jeshi hilo leo jijini Dar es salaam, wakati alipofanya ziara ya ukaguzi katika mkoa wa Kipolisi Ilala kwa lengo la kuona...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania