Watakaovuruga uchaguzi ‘kukiona cha moto’
Polisi mkoani Morogoro, wamesema kikundi chochote cha watu kitakachojaribu kuvuruga uchaguzi wa leo wa Serikali za Mitaa, kitashughulikiwa ipasavyo ikiwamo kuchukuliwa hatua za kisheria. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Leonard Paulo alisema wamepokea taarifa za kuwapo kundi la watu waliopanga kuvuruga uchaguzi huo unaofanyika nchini kote leo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u5DyPv24vBY/Xl-9z5Ol5oI/AAAAAAALhDs/5Np0gTJ6w58rx4qhNMgNurPKl48EIyB3ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B17.37.28.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OZFVixIC8s4/XlPa2FcJAPI/AAAAAAALfHE/kBTzXh_FBMwI5seXHx6CGz9UM5AyTmhBwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-14-1.jpg)
MADALALI NA WAENDESHA MINADA WASIOFUATA SHERIA KUKIONA CHA MOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-OZFVixIC8s4/XlPa2FcJAPI/AAAAAAALfHE/kBTzXh_FBMwI5seXHx6CGz9UM5AyTmhBwCLcBGAsYHQ/s640/2-14-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-15-1.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James, akizindua Mfumo wa Kieletroniki...
9 years ago
VijimamboDK MAGFUNGA KAZI MWANZA, RAIS KIKWETE ASEMA ATAKAYE FANYA FUJO IUCHAGUZI MKUU KUKIONA CHA MOTO
Dk Magufuli amewaomba watanzania wote kumpigia kura za ndiyo katika uchaguzi mkuu unaofanyika leo ambapo yeye amesema atawalipa kwa kufanya kazi kwa bidii ili kuwaletea maendeleo Wanzania.PICHA ZOTE NA RICHARD...
10 years ago
GPLWAKUU WA SHULE WALIOZIFUNGA SHULE ZAO KIMAKOSA, KUKIONA CHA MOTO
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Tamisemi: Waliovuruga uchaguzi sasa kukiona
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Vyama vilivyozidisha bajeti ya uchaguzi kukiona
Patricia Kimelemeta na Grace Shitundu
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imevitaka vyama vya siasa vilivyoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, kuwasilisha ripoti ya matumizi ya fedha zilizotumika wakati wa kampeni, kulingana na matakwa ya Sheria ya Gharama za Uchaguzi.
Sheria hiyo imeweka viwango vya matumizi ya fedha, ambapo nafasi ya urais ni Sh bilioni 15, ubunge ni Sh milioni 33 hadi milioni 88 kulingana na jografia ya jimbo, huku nafasi ya udiwani ikiwa ni Sh milioni 2 hadi...