MADALALI NA WAENDESHA MINADA WASIOFUATA SHERIA KUKIONA CHA MOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-OZFVixIC8s4/XlPa2FcJAPI/AAAAAAALfHE/kBTzXh_FBMwI5seXHx6CGz9UM5AyTmhBwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-14-1.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James, akifafanua kuhusu matumizi ya Mfumo wa Kieletroniki wa Utoaji Leseni za Udalalli na Uendeshaji wa Minada ya Hadhara Tanzania Bara (GAMIS Portal-Auctioneers License) baada ya kuuzindua, ambapo amewataka madadali wote wanatakiwa kuanza kuutumia mfumo huo kuwasilisha maombi yao ya leseni ili wafanye biashara yao ya udalali kwa mujibu wa Sheria.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James, akizindua Mfumo wa Kieletroniki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tI86ANTEaQA/XuDvGAa3OgI/AAAAAAALtYk/ZnyREOX6pRAEz0vI0WRcj1sx056E6rKrwCLcBGAsYHQ/s72-c/bodaboda.jpg)
WAENDESHA BODABODA KINONDONI WAHIMIZWA KUFUATA SHERIA, WAKWAPUAJI SASA KUKIONA
WAENDESHA wa usafiri Bodaboda wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam wametakiwa kufuata sheria katika kutoa huduma hiyo ya kubeba na kusafirisha abiria kutoka eneo moja kwenda jingine.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Daniel Chongolo amesema hayo wakati akizungumza na Michuzi Blog, ambapo amefafanua kuwa kuna kila sababu ya kuhakikisha waendesha bodaboda wanazingatia sheria kwani wale ambao watabainika kukiuka watachukuliwa hatua.
Hata hivyo amesema kwa sasa hali ya...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Watakaovuruga uchaguzi ‘kukiona cha moto’
9 years ago
VijimamboDK MAGFUNGA KAZI MWANZA, RAIS KIKWETE ASEMA ATAKAYE FANYA FUJO IUCHAGUZI MKUU KUKIONA CHA MOTO
Dk Magufuli amewaomba watanzania wote kumpigia kura za ndiyo katika uchaguzi mkuu unaofanyika leo ambapo yeye amesema atawalipa kwa kufanya kazi kwa bidii ili kuwaletea maendeleo Wanzania.PICHA ZOTE NA RICHARD...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Wizara ya ardhi yaandaa sheria kuwabana madalali
10 years ago
GPLWAKUU WA SHULE WALIOZIFUNGA SHULE ZAO KIMAKOSA, KUKIONA CHA MOTO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-715EAFKkA8k/VPGoA1A6PdI/AAAAAAAHGgc/BYlvJ6zvGCI/s72-c/Ardhi%2B-%2B1.jpg)
WAVAMIZI NA WAMILIKI WA ARDHI KINYUME CHA SHERIA JIJINI DAR KUKIONA, KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA
![](http://4.bp.blogspot.com/-715EAFKkA8k/VPGoA1A6PdI/AAAAAAAHGgc/BYlvJ6zvGCI/s1600/Ardhi%2B-%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-k3if5dRok50/VPGoBXH9VgI/AAAAAAAHGgg/5Cvo9DB5iAs/s1600/Ardhi%2B-%2B2.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Feb
Wanaojichukulia sheria mkononi kukiona
MKUU wa Wilaya ya Magharibi Unguja, Ayoub Mohamed amesema Serikali ya Mkoa haitokubali kuwaachia wananchi kujichukulia sheria mikononi mwao na kukataa nyumba zao kupigwa dawa kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa malaria.