IGP SIRRO AFUNGUA MKUTANO WA NCHI 14 ZA SHIRIKISHO LA WAKUU WA POLISI MASHARIKI MWA AFRIKA
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akisalimiana na Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Uganda, John Ndungutse katika hotel ya Golden Tulip jijini Dar es Saalaam baada ya kufungua mkutano wa Kamati Tendaji za Shirikisho la Wakuu wa Polisi Mashariki mwa Afrika (EAPCCO). Mkutano huo umeshirikisha nchi 14 kutoka kwenye shirikisho hilo ambapo wamekutana kujadili na kupanga mikakati ya kupambana na uhalifu unaovuka mipaka. Picha na jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DMrsrclh9YI/VP3SYhSfLRI/AAAAAAAHJJE/kJWwnWEuGdo/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Rais Kikwete afungua Mkutano Mkuu wa Wahasibu Wakuu nchi za Mashariki na Kusini Mwa Afrika
![](http://4.bp.blogspot.com/-DMrsrclh9YI/VP3SYhSfLRI/AAAAAAAHJJE/kJWwnWEuGdo/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kfNCnGnu55Y/VP3SYNYIKAI/AAAAAAAHJJA/-FdD7WDE8TQ/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
VijimamboRais Jakaya Kikwete afungua Mkutano Mkuu wa Wahasibu Wakuu nchi za Mashariki na Kusini Mwa Afrika
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kmZN0XGE77s/Xk4QSf447TI/AAAAAAALeZ8/X2irazU43XApi9PlfK9Xa3uhSOdSoH3PACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WWWZXP_Mer8/XtjrD1P6PCI/AAAAAAALsnM/n4OBIWFSCjMIfIfAaqMZd6AhUwJa75izwCLcBGAsYHQ/s72-c/Sirro.jpg)
IGP SIRRO ATOA MAELEKEZO MAZITO KWA WAKUU WA POLISI WA WILAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-WWWZXP_Mer8/XtjrD1P6PCI/AAAAAAALsnM/n4OBIWFSCjMIfIfAaqMZd6AhUwJa75izwCLcBGAsYHQ/s640/Sirro.jpg)
IGP Sirro amesema hayo leo akiwa mkoani Simiyu wakati alipofanya ziara ya ukaguzi katika mkoa huo na kuzungumza na maofisa na askari wa Jeshi hilo ambapo alisema kuwa Jeshi la Polisi limejipanga kusimamia uchaguzi na kwamba litaendelea kutoa elimu kwa wananchi ikiwa pamoja na kushirikiana ipasavyo na wadau wa uchaguzi.
Aidha,...
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA 16 WA KAWAIDA WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI JIJINI NAIROBI,KENYA, KATIKA PICHA
10 years ago
Dewji Blog30 Nov
Dkt. Bilal aiwakilisha Tanzania katika mkutano wa 3 wa wakuu wa nchi za Afrika mashariki (EAC) jijini Nairobi, Kenya
Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal jana Novemba 29, 2014 aliiwakilisha Tanzania katika mkutano wa siku moja wa Wakuu wa Nchi zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini...
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA YA KILIMO KWA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FpaHCCBf4d8/VXcXQLG0DwI/AAAAAAAHdZc/85qWohvY9gs/s72-c/4.jpg)
DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA TATU WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI YA UTATU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC).
![](http://3.bp.blogspot.com/-FpaHCCBf4d8/VXcXQLG0DwI/AAAAAAAHdZc/85qWohvY9gs/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ldM6gS3b6Gw/VXcXQGGMhyI/AAAAAAAHdZg/9z0IhFFiBik/s640/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri wa Uchukuzi wa...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA YA KILIMO KWA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI LEO