IGP SIRRO AKUTANA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Sirro (kushoto) akizungumza na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) DR. Stergomena Tax, aliyemtembelea ofisini kwake Makao Makuu Ndogo ya Jeshi hilo Jijini Dar es salaam leo na kujadiliana masuala mbalimbali ya kiutendaji.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Sirro (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) DR. Stergomena Tax, aliyemtembelea ofisini kwake Makao Makuu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Majaliwa akutana na Katibu Mtendaji wa SADC
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Katibu Mkuu Mtendaji wa SADC, Dkt. Stergomena Tax, ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 16, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
11 years ago
MichuziKatibu Mtendaji Mkuu wa SADC afanya ziara nchini Zimbambwe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8eC0AlXm19E/Xk_3YK5ZK1I/AAAAAAALevM/rjGyrMUvausn3Tp8Sz4eNr2yDPOOnLT1ACLcBGAsYHQ/s72-c/a1c52346-b866-48f9-a6b7-ba8b65c01f90.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC,DKT.TAX IKULU,ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-8eC0AlXm19E/Xk_3YK5ZK1I/AAAAAAALevM/rjGyrMUvausn3Tp8Sz4eNr2yDPOOnLT1ACLcBGAsYHQ/s640/a1c52346-b866-48f9-a6b7-ba8b65c01f90.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Stergomena Lawrence Tax, alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar alipofika kuonana na kufanya mazungumzo leo 21-2-2020.(Picha na Ikulu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/06640c7d-a9e9-44de-93bf-11e78c79fed8.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/rTG6Nyd0u68/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wK8M-PehC7M/XnL_UacmGYI/AAAAAAALkYA/sOyMD2cxfo0DJOyF5AOMO66gu6yHmgIPACLcBGAsYHQ/s72-c/SIROO1.jpg)
IGP SIRRO TUMEJIPANGA KUKABILIANA NA UHALIFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-wK8M-PehC7M/XnL_UacmGYI/AAAAAAALkYA/sOyMD2cxfo0DJOyF5AOMO66gu6yHmgIPACLcBGAsYHQ/s640/SIROO1.jpg)
IGP Sirro amesema hayo wakati akikamilisha ziara yake ya ukaguzi katika Kanda Maalum ya Polisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZYZ5PZ7bynw/Xun11_vXyZI/AAAAAAALuNg/4hS533_GrpIIDh3gx9Sa4rHS_TXHNmUiwCLcBGAsYHQ/s72-c/JH9A1202-2048x1365.jpg)
IGP SIRRO AFANYA MKUTANO KWA NJIA YA VIDEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZYZ5PZ7bynw/Xun11_vXyZI/AAAAAAALuNg/4hS533_GrpIIDh3gx9Sa4rHS_TXHNmUiwCLcBGAsYHQ/s640/JH9A1202-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JH9A1200-scaled.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro pamoja na wasaidizi wake leo 17/06/2020 jijini Dar es salaam, wakishiriki kwa njia ya mtandao (Video Conference ) mkutano wa Jumuiya ya Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi wa Nchi za Ukanda wa Kusini Mwa Afrika (SARPCCO) unaojumuisha nchi 15 ikiwemo Tanzania katika mkutano wake wa kawaida wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u5DyPv24vBY/Xl-9z5Ol5oI/AAAAAAALhDs/5Np0gTJ6w58rx4qhNMgNurPKl48EIyB3ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B17.37.28.jpeg)
5 years ago
MichuziIGP SIRRO AFANYA ZIARA YA UKAGUZI MKOA WA KIPOLISI ILALA
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati) akizungumza na Maofisa wa Jeshi hilo leo jijini Dar es salaam, wakati alipofanya ziara ya ukaguzi katika mkoa wa Kipolisi Ilala kwa lengo la kuona utayari wao na namna wanavyotekeleza majukumu yao ya kazi za Kipolisi. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na askari wa Jeshi hilo leo jijini Dar es salaam, wakati alipofanya ziara ya ukaguzi katika mkoa wa Kipolisi Ilala kwa lengo la kuona...